Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Jirani umeamkajeSalam kwenu wadau..
Jirani umeamkajeSalam kwenu wadau..
Salama kabisa jirani....wewe je.Jirani umeamkaje
Me mzima jirani, kumekucha tunapambanaSalama kabisa jirani....wewe je.
Sawasawa jirani...Me mzima jirani, kumekucha tunapambana
Mimi hata kasoda baridi nikifululiza cha moto kitanikuta tu 😀Nilioga mwez uliopita nilivyokua naumwa kifua, nilivyopata nafuu tu nikarud zangu kwenye baridi.
Eeh kwa huko maji barid ni kujitaftia ugonjwa, ila kuna saa huko nilikua nayaoga na barid lake😂
Nimeyazoea tu
Salaam jirani! Huku Kumekucha salama kabisa!!Salam kwenu wadau..
Thanks God Tumeamkaaaaaa salama mr vocha!Mmeamkaje ndugu zangu?
Usiyaoge utaumwa na mie bado nakuhitaji didi ake😂😂Mimi hata kasoda baridi nikifululiza cha moto kitanikuta tu 😀
Mimi huku bado sana kuoga maji baridi,, najipenda sana 🤣🤣🤣
Anne siku ukipita naked namie ndio nitapita naked! Sijawahi ona naked yako ujue!Picha za naked zipo wapi sasa Madam?
Ahsante madam boss lady jana usingizi umenisaliti nimesikitika nimekosa vituuuuuThanks God Tumeamkaaaaaa salama mr vocha!
Salama chiefSalam kwenu wadau..
Shikamoo dadaWadogo zangu kwema?
Kwere mr vocha ni ulikosaaa vitu vinonoo hatateeeeee!! watu na lipss zao watu na macho yao yakunguuuuu !! yaniiiiiiiAhsante madam boss lady jana usingizi umenisaliti nimesikitika nimekosa vituuuuu
Marhaba Mdogo wangu..za siku?Shikamoo dada
Kwema sana kipenziiiii!!! Habare za wewe??Wadogo zangu kwema?