Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Mtajuta mwaka huuuAcha mhaho
Kaa kwa kutulia
Ndio tushalianzisha
Mtajuta mwaka huuuAcha mhaho
Kaa kwa kutulia
Sisi ndio wenye nchiNaona wiki yenu hii wanayanga
Depal umejificha wapi mpendwa?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mi yagaaaaannMtajuta mwaka huuu
Ndio tushalianzisha
🤍🤎


Mbona umeficha

Humu Watu wakishaji-engage kwenye love affairs na tu kwisha habari yao!Wakuu tunakwama wapi jamani..?
Speed ya uzi imepungua sana tofauti na ilivyo kawaida!
Kutoka wastani wa kurasa 50+ mbele kwa siku hadi kurasa 2 kwa siku ni hali inayosikitisha sana.
Naomba Wakuu mjitafakari.
Umejuaje yote hayoHumu Watu wakishaji-engage kwenye love affairs na tu kwisha habari yao!
Wanaanza kuoneana wivu with lots of limitations! Full kuchat kwa step, full kupunguza kujiachia , full makasiriko ya hapa na pale,!! Shortly ni full of less freedom!
Ukitaka kuwa huru na kujiachia utakavyo here just mind your own fuckng business na achana habari za malovee!.
Alamsiki!!

🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣😂😂🤣😂😂🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔!Humu Watu wakishaji-engage kwenye love affairs na tu kwisha habari yao!
Wanaanza kuoneana wivu with lots of limitations! Full kuchat kwa step, full kupunguza kujiachia , full makasiriko ya hapa na pale,!! Shortly ni full of less freedom!
Ukitaka kuwa huru na kujiachia utakavyo here just mind your own fuckng business na achana habari za malovee!.
Alamsiki!!
UshindweeeeMbona umeficha
Vitu vyangu pendwa
Hebu pandisha kamera kidogo
Surbi Ameuaaaaaaaaaaaaaa!!! 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔Umejuaje yote hayo![]()
Aisee kumbe mambo ni mengi sana humu!Humu Watu wakishaji-engage kwenye love affairs na tu kwisha habari yao!
Wanaanza kuoneana wivu with lots of limitations! Full kuchat kwa step, full kupunguza kujiachia , full makasiriko ya hapa na pale,!! Shortly ni full of less freedom!
Ukitaka kuwa huru na kujiachia utakavyo here just mind your own fuckng business na achana habari za malovee!.
Alamsiki!!
Tunatamba mjini
Mii Nimemaliza kaka sina la kuongeza!Umejuaje yote hayo![]()
Inasikitisha sana endapo hizi taarifa ni za kweli!!🤔Aisee kumbe mambo ni mengi sana humu!
Yani kumbe mambo ni rahisi hivyo.Inasikitisha sana endapo hizi taarifa ni za kweli!!🤔
Rahisi wapi mkuu kwa staili hii ni magumu banaaaaaaaa🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂!Yani kumbe mambo ni rahisi hivyo.
Inasemekana majobless ndio uwa wanashinda hapa,, itakuwa wamepata kazi ya sensa ndio wako bize 😂🤭Wakuu tunakwama wapi jamani..?
Speed ya uzi imepungua sana tofauti na ilivyo kawaida!
Kutoka wastani wa kurasa 50+ mbele kwa siku hadi kurasa 2 kwa siku ni hali inayosikitisha sana.
Naomba Wakuu mjitafakari.
🤣🤣🤣Inasemekana majobless ndio uwa wanashinda hapa,, itakuwa wamepata kazi ya sensa ndio wako bize 😂🤭
Mtu kama Lenie ni boss sana, akiwa busy sishangai..
Sisi pia wengine na kina Wigelekelo ni mabosssssss huku kwa muhindi, kuna nyakati tunakuwa bize balaaa
Afu kuna wale wa matipo Id,, waaambieni waashe zote 🤣
😍😍😍