Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Ni wewe tuAsante sana dada! Una nyama ya ulimi hadi natamani uwe wifi yangu!!
Mimi kaka yake nipo
Ni wewe tuAsante sana dada! Una nyama ya ulimi hadi natamani uwe wifi yangu!!
Pole sana
Antony Taylor ni refa..
Coach ni Conte
Wote waduanzi





wee mie sijasemeaa huyo Refa, sasa uduanzi wangu upi???? Waduanzi huyo Antony na mwenzake Conte.. hao wote waduanziwee mie sijasemeaa huyo Refa, sasa uduanzi wangu upi????
Sitakiiiiiiiiii.
Umenichekesha 🤣🤣🤣🤣wee mie sijasemeaa huyo Refa, sasa uduanzi wangu upi????
Sitakiiiiiiiiii.
Ni huzuniiii 😭😭Yees darling ndio hiyo hiyo.
Inatesa mnoo usipokua makini kila kitu utahisi ni personal attack.
Pole didi ake but good thing umejifunza somo hapo na haitatokea tena.
Humu hua tunachat vitu vingi sanaaa na 75% hua ni jokes sababu ya mazoea yetu.
Hapa ni +ve vibes only
Bwana awaonekanie kwakwel.Ni huzuniiii 😭😭
Wenye huo ugonjwa niwatakie tu quick recovery maana madhara yake nayajua 😂😂😂
Waduanzi huyo Antony na mwenzake Conte.. hao wote waduanzi
Aahaha dogo??comments za jf zisome kwa umakini ujue? Zinaweza kukufanya watu waone hauna akili timamu








hatareeeeh sana.Haya nifanyie wepesi unibless dear nasubiriaNimefurahi Sana kumjua pacha angu ❤️. Tumebarikiwa haswaaa😁. Kwa hili tunamshukuru Mungu.
🤣😂🤣😂🤣🤣😂😂🤣😂🤣😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣 !!
Unaniua mbavuu zangu mjomba 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Mzungu wa mchongo hahahahaha alijua kunichekesha walai!
Tayari Nimekaa kwa kutulia Joan njoo unibariki kipenziUsiwaze kipenzi changu. Kaa kwa kutulia hapo
Mzungu alileta vifaa vya sensa huyo 😀😀😀Unaniua mbavuu zangu mjomba 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣!! Mzungu wa mchongo hahahahaha alijua kunichekesha walai!