Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣.
Hivi unajua ile siku ya mechi nilicheka Mbavu sina hapaa mzungu makoloπŸ€—πŸ€—πŸ€—πŸ€—πŸ€—πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!!
 
Hivi unajua ile siku ya mechi nilicheka Mbavu sina hapaa mzungu makoloπŸ€—πŸ€—πŸ€—πŸ€—πŸ€—πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!!
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣Mzungu aliniacha hoi....simbaaa..huhuhu
 
Siku zote asiejiamini hutumia nguvu nyingiiii kutaka aonekane ! Mbaya zaidi anawaste tu wakati reality iko wazi waziiii! Hakika maajabu hayataisha duniani!
Asiejiamini sikuzote hupenda kujilinganisha! Na anapenda competition sana !
Siku zote anependa kukompete kazidiwa na anaona mtu fulani kwake ni threat!
Tuliza mshono kila mmoja ashinde mechi zake mbilikimo wa congo wewe!!
wee nae mmmh
 
! Nipo bushiiiiii hapa usiku ndani network Hakuna nimetoka nje napigwa na baridi ila sikomiii
Nipate wapi rafiki nipo nimedoda tyu hapaa bushiii! Hauna mdogo wako unipasie mwana selfika Mwenzio????
Leo Sitoki hapa
khaaaaaah!!!!
 
Bwana sie wote ni wa late 90s 🀣🀣🀣
🀣🀣🀣 nilisahau, nilijua wewe kikongwe mwenzangu.

Ngoja nimfate dm nimuombe no zake, i hope atakuwepo insta
 
Back
Top Bottom