Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,221
Hivi unajua ile siku ya mechi nilicheka Mbavu sina hapaa mzungu makoloπ€π€π€π€π€ππ€£πππππππππ!!π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£.
Hivi unajua ile siku ya mechi nilicheka Mbavu sina hapaa mzungu makoloπ€π€π€π€π€ππ€£πππππππππ!!π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£.
Akina Carrymastory wanakusengenya
Na vile huwajibu wanajitekenya
Na ulivo na sifa unanipa tena
yani mpaka asubuhiii![]()
Dj waleteeeeeeeeeeeeee waleteeeeeeeeeeeeee!!
Hivi tunaruhusiwa kuimba humu???????
cocastic jamaniiii








mtakuja mpigwe shauri zenu.π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Mzungu aliniacha hoi....simbaaa..huhuhuHivi unajua ile siku ya mechi nilicheka Mbavu sina hapaa mzungu makoloπ€π€π€π€π€ππ€£πππππππππ!!
Wakunipiga aje hapaa anipigeeeeee akimaliza atatulia turiiiiiiiπ€£πππ Wanijua mie sipotezi mudaaaa kwanza sijui kupigana miemtakuja mpigwe shauri zenu.
Imebidi nimgoogle, kumbe ni kiungo mchezaji.ππ mpaka uniletee Reece James π€£π€£
Si muwamwage tyuuh,Kuna watu watakuja kuaibika vibaya humu wangejua! wangefunga tu bakuli zao





Siku zote asiejiamini hutumia nguvu nyingiiii kutaka aonekane ! Mbaya zaidi anawaste tu wakati reality iko wazi waziiii! Hakika maajabu hayataisha duniani!
Asiejiamini sikuzote hupenda kujilinganisha! Na anapenda competition sana !
Siku zote anependa kukompete kazidiwa na anaona mtu fulani kwake ni threat!
Tuliza mshono kila mmoja ashinde mechi zake mbilikimo wa congo wewe!!








wee nae mmmhCcy nakuja badae Kuna ka shughuli nakafanyaMie nimemuacha sis Nimesema akimaliza kusoma kiporo cha koments selfii ziendelee sis!!![]()
! Nipo bushiiiiii hapa usiku ndani network Hakuna nimetoka nje napigwa na baridi ila sikomiii
Nipate wapi rafiki nipo nimedoda tyu hapaa bushiii! Hauna mdogo wako unipasie mwana selfika Mwenzio????
Leo Sitoki hapa![]()







khaaaaaah!!!!Dogo achana na hizo comments banawee nae mmmh
Hujambokhaaaaaah!!!!
Bwana sie wote ni wa late 90s π€£π€£π€£Imebidi nimgoogle, kumbe ni kiungo mchezaji.
Kiben 10 hiko kiache kikue kwanza, naona kazaliwa 99ππ
Haya wapenz watazamaji msogee eneo la tukiomsichingulie kimyakimya









π€£π€£π€£ nilisahau, nilijua wewe kikongwe mwenzangu.Bwana sie wote ni wa late 90s π€£π€£π€£
Kuna Cremea, Ukrain π πkwan kuna nn hapa???
πππππ weβre Forever young..π€£π€£π€£ nilisahau, nilijua wewe kikongwe mwenzangu.
Ngoja nimfate dm nimuombe no zake, i hope atakuwepo insta
Picha zinatosha kwa leo jirani..Ukigawa likes uweke na picha π€£ myoyambendi Lovelovie