Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Adode hivyohivyo huyo UstadhLeo hana bahati...
Adode hivyohivyo huyo UstadhLeo hana bahati...
Jaman ni usiku tayari, kalale tu.😂😂 nimesikia tap
Afu umeme umekata
Kwa jirani kunawaka
Ngoja nikaangalie MAin switch
Siwezi kulala na giza kubwa hivi
Mimi mpira jamani,, Wacha tu uniuweee
Kunani tena warembo?Tujifunze kushona midomo yetu wana selfika kila mmoja ana mdomo na anajuaaa kuongea vilevile kujifanya wajuaji mashauzi classic kumbe watu wanatuchora tu shenze typee mbwaa malaya wakutupa kabisa pumbafuuuuuu!!!!!!
Hahah huyu wa kucha ameolewa jana na mjeshi.Pole mkuu. Utakuja kuwasimulia wajukuu kuhusu hayo makovu uliyoachiwa. Tena wafunge kamba kuwa yalitokana na mapambano yako na simba na wanyama wengine wakali walipojichanganya na kuvamia ng'ombe uliokuwa ukiwachunga. Wajukuu utawasikia tu "kumbe we babu siyo mtu wa mchezo mchezo eeeh!"...Halafu wakikua kidogo utasikia babu yetu huyu kwa fiksi dah!![]()
Muda bado jirani, dk ya 67Adode hivyohivyo huyo Ustadh
Hili mbona zuri
Nitakulipa anne, maisha yamepanda sana... ngoja mambo yakae sawaWe jamaa nikikukamata sasahivi nakupeleka polisi.
Huwezi nichomesha mahindi miezi na miezi hulipo deni.
🤣🤣🤣🤣 pole didi akeHivi kwanini main switch uwa inajizima??
Hapa ni mwendo wa kutembea ki spaida mpaka niikute ilipo 🙃
Lenie nisindikkze
Kiza hadi sijioni
Pendeza jirani, ..
Itaisha hivyohivyo jiraniMuda bado jirani, dk ya 67
Hukumla hiyo siku ya send-off? 😁😁😁Hahah huyu wa kucha ameolewa jana na mjeshi.
Dogo alinipenda balaa hadi sendoof yake nilikuwa dereva wake.
Asante jiraniPendeza jirani, ..
Wewe jamaa usinitanie kabisa yaaniNitakulipa anne, maisha yamepanda sana... ngoja mambo yakae sawa







Kumbo uko ka cute hivi?
🤣🤣😂😂😂😂! Nipo bushiiiiii hapa usiku ndani network Hakuna nimetoka nje napigwa na baridi ila sikomiii🤣🤣🤣Daaah we kiumbe una nini?
Umekuniwa nazi?
🤣🤣🤣Hili mbona zuri
Langu la V kabisa sijui ni U -turn ile
Kikakumbuka matege yamechepuka utadhani River rejuvenation form 4 geography hakiyananiView attachment 2324012
Kama la BM 😂😂😂
🙇🙇🙇🙇
Anyone with popcorn pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Tuchat na picha wapendwa
cocastic Lovelovie @PauBae Carrasco putin Mjep sophy27 Shimba ya Buyenze
Hahaa Ulijua nipoje G?Kumbo uko ka cute hivi?