Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siku zote asiejiamini hutumia nguvu nyingiiii kutaka aonekane ! Mbaya zaidi anawaste tu wakati reality iko wazi waziiii! Hakika maajabu hayataisha duniani!
Asiejiamini sikuzote hupenda kujilinganisha! Na anapenda competition sana !
Siku zote anependa kukompete kazidiwa na anaona mtu fulani kwake ni threat!
Tuliza mshono kila mmoja ashinde mechi zake mbilikimo wa congo wewe!!
 
acha tu, me tege langu nishalizoea maana lilinitesa sana mwanzoni

Inabidi tu kukubaliana na hali, muhimu kulijulia jinsi ya kusimama ukiwa mbele za watu
Aisee kuna wale ambao tunao ya jumla jumla.
Wengine nyie hadi mtu apige na jicho la rohoni.

Sisi wa ya jumla yaani kitu clear kabisa ..haiitaji jicho la rohoni.
 
🎼🎶Akina Carrymastory wanakusengenya
Na vile huwajibu wanajitekenya
Na ulivo na sifa unanipa tena
yani mpaka asubuhiii🎶🎶🎼🎵🎵🎵 🤸🤸🤸🤸🤸💃💃🤸💃🤸💃💃🤸🤸🤸🤸💃🤸
Dj waleteeeeeeeeeeeeee waleteeeeeeeeeeeeee!!
Hivi tunaruhusiwa kuimba humu 😂😂🤣🤣🤣🤣🤭🤭🤭🤭???????
cocastic jamaniiii
Daaah we kiumbe una nini?
Umekuniwa nazi?
 
Back
Top Bottom