myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
🤣🤣Za huko kwenu jirani
Sisi mbeya tuna mechi na baridi.
Hadi sasa baridi 3 sisi 0
🤣🤣Za huko kwenu jirani
Sisi mbeya tuna mechi na baridi.
Hadi sasa baridi 3 sisi 0
Emu tuone hiyo namna🤣🤣Yaani..
Siku hizi huwa naiachia hahah!
Maana katikati lazima gap libaki.
Sema kuna namna inakuwaga mizuri ikikaa upande mmoja![]()
Kiuno nyigu hoyeeewee mkanda umenishinda mdogo wangu Tumbo Lilikua linaumaaa khaaa Naomba nibaki kwenye kubalance tumbo kwa diet tu mkanda!!
Niunabanaaa uwiiiiii!!








Nyie mtu mbili kuna sms mnatumaga, mtu inabidi uweke simu kando, uchekeee ukimaliza ndio urudi kujibuAkili timamu za nini maisha mafupi haya🤣🤣
Acha basi..wewe ndiyo umenitenga Mimi ujueUmenitenga kiaina
Sijui imekuaje....
kibwengo,emolo,mbilikimo haa haaa.Tena shika adabu yako na ukome kuvamia vamia watu na ujiamini kibwengo wewe!!Mmxxxxxxxxxxxxxxiiiieeewwww!!
Njoo basi nahisi baridi😅Acha basi..wewe ndiyo umenitenga Mimi ujue
Ukitembea ukisimama yanayumbaYaani wewe![]()







Naona unachochea kunikibwengo,emolo,mbilikimo haa haaa.
Abeeeeeee kakaa!!
Mi sijui hata nini kinaendelea chief.Naona unachochea kuni
😂😂😂 raha jipe mwenyew.Nyie mtu mbili kuna sms mnatumaga, mtu inabidi uweke simu kando, uchekeee ukimaliza ndio urudi kujibu
Bro chemsha chai unywe upate uvuguvugu..😂😂😂Njoo basi nahisi baridi😅
Nitaangalia marudio keshoBenzema leo napo anangoja zile bahati zake za kufunga dk za mwisho mwisho??
myoyambendi
Saint Anne umewaona blues leo? Pira birianiiiachana na ile mbuzi Antony ametuhujumu vibaya
![]()
Haisaidii nahitaji kumbatooBro chemsha chai unywe upate uvuguvugu..😂😂😂
Hooouuuuuyeeeeeeeeeeee🤸🤸🤸💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃! Au nikomae na mkanda mdogo wangu??? Nataka kiuno kama chakooo!! 👌👌👌👌👌Kiuno nyigu hoyeee![]()
Ni nini mdogo wangu mbona nakuona wa moto sana?? Kulikoni? Hebu tulia basi?Abeeeeeee kakaa!!