cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Uko makini sana
Unaweka kulinda line isifungiwe sioHizi naweka tigo didi 🤣🤣🤣🏄♂️
Zile ziko kwa smartphone’ voda
Selfika basiUko makini sana
Amen
Shangazi 🤦🤦🤦Mjomba!!
Anakusingizia eeh😂Usiaminiii
Me bado mtoto sana 🙈
Usiku mnenee. Lazima tupige story.
Nipo singoooo, sasa nilale mapema ya nn dear??
![]()


😄😄😄😄😂😂😂 Hamna mtu wangu wa nguvu.. nilikuwa nataka tu kukuchanganya SI unajua wakati mwingine nakuja hapa kutua stress zangu .. nakuwa opposite na Kila jambo.. kuachana SI jambo zuri napenda watu wakianzisha kitu Hadi wazikane..Nimeshindwa mie, tuachane na hayo
Nazitumia bana 🤣Unaweka kulinda line isifungiwe sio
Coz am sure huzitumii, venye voda bando limejaa adi linataka kumwagika😂
Hebu fungulia dimba nifate nyayoSelfika basi
@Tinsley uko single..!!, ngoja nikajipake maji ya mwamposa nije.
Acha tukeshe tu sie single ladies
Vipi dear mzima ?
Usinichomeshe mahindi 😊Hebu fungulia dimba nifate nyayo
Basi nilikuwa namchangamsha cocastic mtu wangu wa nguvu.. Sipendi kabisa watu waachane na Huwa naumia sana kuona watu wana achana.. Huwa napatwa sana na huzuni kuachana SI jambo zuri





kuachana kupo, ila ninapochoka watu wana achana afu wanakua na ukaribu km mwanzo, sijawahi elewa.Ukiona watu wame achana na still wapo pamoja.. Ujue hai watu walikuwa ni zaidi ya wapenzikuachana kupo, ila ninapochoka watu wana achana afu wanakua na ukaribu km mwanzo, sijawahi elewa.
😂😂😂😂 unataka kusemaje? Mm ya uadui ndio uwa naishangaaakuachana kupo, ila ninapochoka watu wana achana afu wanakua na ukaribu km mwanzo, sijawahi elewa.
Acha tukeshe tu sie single ladies
Vipi dear mzima ?





yaan mito yangu 4, naikumbatia hadi inashindwa kusema tumechoka tafuta binadamu mwenzio. 



Ukijiunga nipigie badae tupunguze masaa ya j3😂Nazitumia bana 🤣
Kumbuka ile siku nilikupigia nayo?
Hapa nasubiri ifike 5k nijiunge View attachment 2294969