Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
No , not really@Tinsley uko single..!!, ngoja nikajipake maji ya mwamposa nije.
Namsupport coca
No , not really@Tinsley uko single..!!, ngoja nikajipake maji ya mwamposa nije.
Ewaaaaaah hapo sasa umenenaaaa Mr Kahawa.Hamna mtu wangu wa nguvu.. nilikuwa nataka tu kukuchanganya SI unajua wakati mwingine nakuja hapa kutua stress zangu .. nakuwa opposite na Kila jambo.. kuachana SI jambo zuri napenda watu wakianzisha kitu Hadi wazikane..
Ooooh hapo sawaaa.Ukiona watu wame achana na still wapo pamoja.. Ujue hai watu walikuwa ni zaidi ya wapenzi
Hahahaha aiseeyaan mito yangu 4, naikumbatia hadi inashindwa kusema tumechoka tafuta binadamu mwenzio.
U singoo huu, mie mzima dear vipi wee![]()
Shaka ondoa 🤣Ukijiunga nipigie badae tupunguze masaa ya j3😂
Me tangia niingie ubia na voda, tigo nimeisahau kwa muda😁
Kuna Ile, ni mnakuwa wapenzi, marafiki, washakaji, wana, masela na hata business partner Kwa wakati mmoja, watu wa hivi utakuta wameachana ila still wapo pamoja na furaha na amani kama zote..Ooooh hapo sawaaa.
liwa kichwa utakuwa hata secretary wangu Kule mahala 😄😄😄😄Shaka ondoa 🤣
Na nina maswaibu 😩
Nikifanya nyweeee this time naliwa kichwa 🏄♂️
Very rare 🤣🤣🤣Kuna Ile, ni mnakuwa wapenzi, marafiki, washakaji, wana, masela na hata business partner Kwa wakati mmoja, watu wa hivi utakuta wameachana ila still wapo pamoja na furaha na amani kama zote..
Naelewa shosNisapoti dear, u singo taabuuu.
![]()
Kimya sana mjombaMarahabaaa shangazii
Eeh pole, em unipigie uniambie nini shida tuone tunafanyajeShaka ondoa 🤣
Na nina maswaibu 😩
Nikifanya nyweeee this time naliwa kichwa 🏄♂️
Leo nipo shangazi hapa nalinda jukwaaKimya sana mjomba
Nipe a minute, naweka sawa jambo flan, halafu ni selfie back to backUsinichomeshe mahindi![]()
Kwani ni shida basi? Sio kazini 🤣Eeh pole, em unipigie uniambie nini shida tuone tunafanyaje
SawamkuuNipe a minute, naweka sawa jambo flan, halafu ni selfie back to back
Weee wakati ile siku ulisema kabisa kuwa unafurahiiiii mwenyewe yani unafurahi balaaa!!Basi nilikuwa namchangamsha cocastic mtu wangu wa nguvu.. Sipendi kabisa watu waachane na Huwa naumia sana kuona watu wana achana.. Huwa napatwa sana na huzuni kuachana SI jambo zuri
Miss youShangazi![]()
Wapi?? Haha hapa aisee hata warning ya mdomo sijawahi pata…liwa kichwa utakuwa hata secretary wangu Kule mahala 😄😄😄😄
😘😘😘 Miss you too x 7Miss you