😄😄😄😄 Changamsha genge tu, nikaona Ili kufanya nada iwe ndefu acha niende oppositeWeee wakati ile siku ulisema kabisa kuwa unafurahiiiii mwenyewe yani unafurahi balaaa!!
Hahahhahahahha!!!Hamna mtu wangu wa nguvu.. nilikuwa nataka tu kukuchanganya SI unajua wakati mwingine nakuja hapa kutua stress zangu .. nakuwa opposite na Kila jambo.. kuachana SI jambo zuri napenda watu wakianzisha kitu Hadi wazikane..
Woiiiiiiiiii kumbe huyo? Sasa unajistress ya nini na venye hana madhara?Kwani ni shida basi? Sio kazini 🤣
Ila ni bk 😩😩
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌 weweeeeeWoiiiiiiiiii kumbe huyo? Sasa unajisttess ya nini na venye hana madhara?
Ni kama paka aliyeloa
Yaani ana kaukorofi flani hiviHuyo akiamua kushangaa kila komenti yako anashangaa hadi anataka nawewe umshangae sasa!!
Hahahhahahahha... nahisi wewe unaelewa hilo shoss...unajiuliza hupati majibu yani unabaki tukuachana kupo, ila ninapochoka watu wana achana afu wanakua na ukaribu km mwanzo, sijawahi elewa.





Weee Usinambie Mjomba!!!Ukiona watu wame achana na still wapo pamoja.. Ujue hai watu walikuwa ni zaidi ya wapenzi



!!Ingekua ni 1st time sawa, ila 100th time?🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌 weweeeee
Hujui tu yan hujui tuuuuuu
Kumbuka ile memes yako ya usiku 😂😂
Safi sana mjomba!! Hujaselfika kitambo mjomba nikuone basi mchana wangu ukawe mzuri mjomba!Leo nipo shangazi hapa nalinda jukwaa
Na wewe upo single???
Acha tukeshe tu sie single ladies
Vipi dear mzima ?
Jirani wewe ukiacha hugeuki nyuma?.Weee Usinambie Mjomba!!!!!
Sawasawa mjomba tuendelee kuselfika mjomba wanguChangamsha genge tu, nikaona Ili kufanya nada iwe ndefu acha niende opposite
yaan mito yangu 4, naikumbatia hadi inashindwa kusema tumechoka tafuta binadamu mwenzio.
U singoo huu, mie mzima dear vipi wee![]()
Never ever jirani!!!!!!Jirani wewe ukiacha hugeuki nyuma?.
Sawa jirani...Never ever jirani!!!!!!
😄😄😄😄 Usikae mbali shangazi na kitu kizuri kabisaSafi sana mjomba!! Hujaselfika kitambo mjomba nikuone basi mchana wangu ukawe mzuri mjomba!
Mahondaw.............Forever and always
Mahondaw![]()