cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,296
He...nilipitwa kumbe.Nimecheka kwa nguvu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jana rangi halisi ilikuwa ni ile clip ya pili…nilipitwa na ndio ilikuwa nzuri 😅 kuzidi hata za filita uongo?
Niliona responds zilikuwa pale sana..
Cuzzo wangu yule na wasap gb lake akaiiba akarepost 🤣🤣 ile ya kwanza na pili…
Leo tena nitakuwa live kuwaimbia 😜
Ndyoooooh, nipo nazurura tyuuh.Umeamka eeh![]()
🤣🤣🤣Jirani kiko wapi kitambi..Unatusimanga wenye vitambi 😂
🤣🤣🤣😂 Tunaita love Bubble
🤣🤣🤣Nancy tena 🤣🤣
Hizi cameras inabidi tuzishtaki 🥰
Jirani
Jirani unaendeleaje..Ila hawa mama zetu wa kiafrika sijui kibongo ni wanapenda kucomplicate mambo jamani😂😂
Kitu kidogo ni watakikuza adi unajuta kwanini uliuliza.
Pole didi akeee😅😅
Boss Kuna Siku unalala bila kumwagilia moyo😄
Haiwezekani kabisaBoss Kuna Siku unalala bila kumwagilia moyo![]()

Nafurahi jirani upo..Jirani
Safiiii sana jirani..
Safiiii sana





mna points 6 na goal 8.Shangazi sio hivyo, muulize huwa unalala kwako? Huyu baba yeye kila siku ni hotelin tyuuh.Boss Kuna Siku unalala bila kumwagilia moyo![]()









Ahaaa manutd tunakuja vingine this season tutawashangaza. The time that I have on this earth should just be filled with good timesmna points 6 na goal 8.
Manyuaaaa mmeanza pre season na motooo.
Ngoja msimu uanzee mnaanza kupoteana tyuuh. Na Haaland kasema anawatakaaa.
Woyoooooooh. Naona hapo unakula good time.

Manyuaaaaa hiii ya capt maquire? Au ipi hiyo?Ahaaa manutd tunakuja vingine this season tutawashangaza. The time that I have on this earth should just be filled with good times![]()





, hauko serious wee, yeaaaah fill wid good times, life z tuu short. Enjoyyyyyzzz. Watu weweeeeeeee........
Hapa litakufa jitu nakwambia
Tina kamaliza mchezo![]()




AntoniaTenaaaaAchana na Lovelovie huyu alikua mpambe tuuuu, hapa umefika mrembo na dada kashafanya yake
Nipewe nini mimi tena jamani
Nautangazia umma wa selfika mzungu ni wangu tuuu, ngojadogo Saint Anne aje aniandalie mistari nianze kushusha hapa mmoja baada ya mwingine