Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Nguvu za kuamka asubuhiPole sana shem darling Mungu akupe nguvu zaid na zaid![]()
Mnara unasoma 5G zipo
Ama ulitaka anipe nguvu zipi zingine

Nguvu za kuamka asubuhiPole sana shem darling Mungu akupe nguvu zaid na zaid![]()

Aah kumbe nguvu ni hizo tu sikua najuaNguvu za kuamka asubuhi
Mnara unasoma 5G zipo
Ama ulitaka anipe nguvu zipi zingine![]()

Me niko bomba baby girl, kumekucha vema hukuPoa sweetie.... Mzima ww
Kuna zingineAah kumbe nguvu ni hizo tu sikua najua![]()

Aisee😂😂Nguvu za kuamka asubuhi
Mnara unasoma 5G zipo
Ama ulitaka anipe nguvu zipi zingine![]()
Sawa sawa hyo ni nzuriMe niko bomba baby girl, kumekucha vema huku
Nmegundua hakuna zingineKuna zingine![]()
Sis Anne Saint Anne fanya namna dada🤗kwahiyo cheo cha mrs vocha kipo kwangu now au bado badoAchana na Lovelovie huyu alikua mpambe tuuuu, hapa umefika mrembo na dada kashafanya yake
Nipewe nini mimi tena jamani
Nautangazia umma wa selfika mzungu ni wangu tuuu, ngojadogo Saint Anne aje aniandalie mistari nianze kushusha hapa mmoja baada ya mwingine
Ubarikiwe ShemNmegundua hakuna zingine
Mwenyew nimecopy na kupest, nipo kudownload dikshenari hapa.Bado nipo kozi
Level hiyo sijaifikia
Nitafsirie
AminaUbarikiwe Shem
Cutie
Ni kazi sanaaHuyu anavuta huku mwingine kule
Urembo shida yaani
Mkubalie tu bila hata mistari..ufaidi mema ya nchi Kwa mzungu wa roho huyo.Sis Anne Saint Anne fanya namna dada🤗kwahiyo cheo cha mrs vocha kipo kwangu now au bado bado
Christine wifi ubarikiwe sanaa wifi akeee
HaikataiMwenyew nimecopy na kupest, nipo kudownload dikshenari hapa.
Ikimalizika nikaelewa somo, nitakupasia desa
Cheo ni chako mama angu usijisumbue na kununua vocha utakua unatumiwa kila siku asubui na mapema..... Ngoja wifi mkubwa aje akupe maelekezo mengine mazuriSis Anne Saint Anne fanya namna dadakwahiyo cheo cha mrs vocha kipo kwangu now au bado bado
Christine wifi ubarikiwe sanaa wifi akeee
Mpambe nuksiMkubalie tu bila hata mistari..ufaidi mema ya nchi Kwa mzungu wa roho huyo.

Kwendaa😂Mpambe nuksi
Umeamkaje kwanza
Hivi umenawa uso![]()