Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,870
- 37,644
Yooooo mke wa wazir Mama mapesa mamaaa mwenye signature kwenye Ndege ya airforce one
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app





Duh mbavu zangu
Air force 1 Tena jmn
Yooooo mke wa wazir Mama mapesa mamaaa mwenye signature kwenye Ndege ya airforce one
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app





Hahaha vp lkn mzma wwSisemi uongo kweli
Bado sana ndo kwanza nipo kama mchicha
OwkeyyyVocha yko ipo usijali bado niko ndani nikitoka tuu nje.
Mmetuacha lkn still hali sio nzuri 🥲 View attachment 2292357

Ndo mwenyekiti wetu huyo wa vitambi


Mtoto mzur kama ww huwez lala mwenyewe boss unanizuga unaamkia kwenye airforce one unalala five stars Hoteljmn
Nalala mwenyewe haya nimefanya nn
🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣😂😂😂Na hii baridi, litanisaidia nikiwa huko jela😂
😂😂😂
Ila tv ni anasa, endelea tu kutokua nayo inasaidia kukuepusha na mengi🤣
Tutakupa tu mchango wa glass, ndio tusije kukutembelea ukatutengea maji ya kunywa kwa bakuli linanukia samaki😅
Nipo poa na wewe
Raha kuwa na kitambiNdo mwenyekiti wetu huyo wa vitambi
Ila sitaki kusema sana ila raha tu![]()






nyie nyie haya bana




Miss you too wifi yangu kipenziWifi angu
Miss u
Morning
Morning.Tin morning
Ziheshimiwe kwakweli😀Nancy tena 🤣🤣
Hizi cameras inabidi tuzishtaki 🥰
Alinambia mpigie mjomba zxxx nikamwambia naomba namba yake 😂😂Ulifanyaje adi akakushushua😅
Taarifa za nchi utazipata huku jf😃🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣😂😂😂
Nakosa Taarifa za nchi mjue? Emu fanyeni logistic bana
Samaki? Ni anasa 😁 mtasikia bakuli ina harufu ya tembele
🤣🤣🤣 salamaleko ✋Taarifa za nchi utazipata huku jf😃
Hahaa tembele kwa afya, kazana kulila😋😅
Ni usingizii, ngoja nilale mie badae niamke nikaote jua 😁
Boss ww ni mzur bana hakika umeumbwa ukaumbika uliumbwa siku ya pekee ako boss wangu
Niko poa sana aunt yanguOoh poa mzima lkn
Ila hawa mama zetu wa kiafrika sijui kibongo ni wanapenda kucomplicate mambo jamani😂😂Alinambia mpigie mjomba zxxx nikamwambia naomba namba yake 😂😂
Si ndio akashangaa.. hata namba huna?
We unasalimiaga ndugu zako kweli
Mama aliongea hiyo siku 😁
😀😀😀😀 mr misifio hoyeeeeeeee 🤗Boss ww ni mzur bana hakika umeumbwa ukaumbika uliumbwa siku ya pekee ako boss wangu
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app