Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20220630-215447.jpg


20220630_214958.jpg


Muda Wa kumwagilia moyo 💃💃💃💃
 
Nitumie mimi mjukuu. Nitakuandikia recommendation letter nzuri sana. Nitasema mpaka unavyoporomosha matusi mtu akiingia kwenye anga zako; na kwamba hata wakiwa mia lazima utawasambaratisha tu. Hii ni quality nzuri kwenye organization zenye hekaheka [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nimecheka mnooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Afu babuuuh kuna mchongo m1 nimeupata, jinsi ya kuvukia huko mambelee. Sema siamini sana. Nilihitaji ufafanuzi kutoka kwako.
Sema naogopa km ntakukwaza au kukuvunjia heshima.
 
Back
Top Bottom