myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
😄😄Huo mguu kipenziiiii, hakna anaechomoa hapo.![]()
😄😄Huo mguu kipenziiiii, hakna anaechomoa hapo.![]()
NaamHahahahah kama nakuona pampula

🤣🤣🤣 sawa..Haya chap futa huo mguno
🫣🫣
Umemuita BabuNimecheka mnooo,
Afu babuuuh kuna mchongo m1 nimeupata, jinsi ya kuvukia huko mambelee. Sema siamini sana. Nilihitaji ufafanuzi kutoka kwako.
Sema naogopa km ntakukwaza au kukuvunjia heshima.

Huu wimbo hauna kibwagizo kileMoyo niache, mi leo nifurahi
Nilipotoka majanga noma nishai
Moyo nyumbani staki kuwahi
Maana mpaka kwa Mangi ananidai.
Nataka nileewe mpaka asubuhi
Niwee sijitambui
Nileewe mpaka asubuhi
Niwee sijitambui
Sent using Jamii Forums mobile app

Binti yangu.






Du mi laiki iti izi mai bethideiHuu wimbo hauna kibwagizo kile
Kifo cha mende chalii![]()














Siyo guu la bia tu hili ni guu la Champagneuko vizuri

Yupo humu au huko mtaaniEeh unaye rafiki![]()


Yupo mtaaniYupo humu au huko mtaani
Halafu hiyo 'rafiki'
Toka lini![]()
Ntakuja kesho babuuuh. Serious.Mbona tayari nahisi kama ni mchongo feki?
Sina heshima ya kuvunjiwa mimi mitandaoni humu maana sina mtu anayenifahamu personally; na nipo kujifurahisha tu. Kama ni ishu genuine njoo tu mjukuu wala usiogope.
Nikufungulie PM?
Nnazo za kutoshaaaa,Umemuita Babu
Halafu unamuogopa tena
Busara hekima zimejaa pomoni
Hapo




Guuuu😍Jitahidini kutunza vipande kesho nitapost nywele😁😁View attachment 2277745