Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimecheka mnooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Afu babuuuh kuna mchongo m1 nimeupata, jinsi ya kuvukia huko mambelee. Sema siamini sana. Nilihitaji ufafanuzi kutoka kwako.
Sema naogopa km ntakukwaza au kukuvunjia heshima.
Umemuita Babu

Halafu unamuogopa tena[emoji848]

Busara hekima zimejaa pomoni

Hapo
 
Moyo niache, mi leo nifurahi
Nilipotoka majanga noma nishai
Moyo nyumbani staki kuwahi
Maana mpaka kwa Mangi ananidai.

Nataka nileewe mpaka asubuhi
Niwee sijitambui
Nileewe mpaka asubuhi
Niwee sijitambui

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu wimbo hauna kibwagizo kile

Kifo cha mende chalii[emoji848]
 
Back
Top Bottom