Upo tayariiii??Nilitoka bhanaa, nilikuambia baadae, haya weka sahivi.
Upo tayariiii??Nilitoka bhanaa, nilikuambia baadae, haya weka sahivi.
Hapana ,


Haya wengine sie, hata kuwasogelea tyuuh wanasikia kichefu chefu, tutazoeana nao mda gan? Khaaaah tabu tupu. LolUna uhusiano gani na huyo mtu uliyemwamini kukuandikia recommendation letter? Kama ni profesa alikufundisha una uhakika bado anakukumbuka? Mara ya mwisho uliwasiliana naye lini au mtu hamjawasiliana tangu uondoke chuo na leo ndiyo umekurupuka tu kumtafuta baada ya kuomba kazi inahitaji recommendation.
Tujenge tabia ya kuwa karibu na watu wachache tunaojua kuwa ni wa muhimu katika maisha yetu; na tusiwatafute tu pale tunapokuwa tunawahitaji. Hili ni jambo la muhimu sana maishani.







Yani nahama mtaa nahamia kwa vibonge tuHapana ,
Alikuwa kiportable ?
Labda kwa field hapo, maana kila nilipopita niliacha sifa na alama, na nilikua napendwa. Ngoja nimtafute yule mama kwan.Okay pale field kuna mtu uliyekuwa unareport kwake .. mfano Mkuu wa idara ya sehemu hiyo
huyo ndo anayefaa maana ameona utendaji wako wa kazi kipindi cha field . Ndo maana inashauriwa wakati wa field tuwe wachapa kazi na watiifu
Ili baaadae uweze kuwa na sifa nzuri .
Japo Mimi nilikuwa kabishi hako kipindi cha field
Walitaka kutufanya wafanyakazi wao (overwork)
Hahaha kwa vibonge utaenjoy


Amenishinda tabia yani boxer zangu mpka zinakuwa na hips
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app




nawee vaa chupi zake.Nilivaaga siku moja ikawa kubwanawee vaa chupi zake.



Hali inaendeleaje huko mjukuu au bado?
View attachment 2277706




babuuuh kwenye mambo ya academic, wala sijawahi kushindwa, ko kuwa na amani. UE ya 6 hii. Hainisumbui.Ooh vizuri .. uliishi nao vyema .Labda kwa field hapo, maana kila nilipopita niliacha sifa na alama, na nilikua napendwa. Ngoja nimtafute yule mama kwan.
,,😉😉😉😉😉🤗Kumekuchaaaaa
NdyoooohUpo tayariiii??
Eeh sijui hilo





khaaaah.Noumaaaah
Cocastic wahi sasa🤣🤣🤣Mama yao.......🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Kwahiyo ukivaa hips linachora?😂Amenishinda tabia yani boxer zangu mpka zinakuwa na hips
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Field bhana huwa nakuaga zoba na mfanyakazi, sichagui chochote nachoambiwa nafanya, yaan sometimes unatumwa kununua kitu upande wa pili unapuyanga hivyo tyuuh.Ooh vizuri .. uliishi nao vyema .
Nahisi sikuwa bahati na field
Supervisor wa field alikuwa mtata .. hataki hata mtu akae ofisini kwake , hakuna tulojifunza na tulikaaa field miezi minne