Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

3 pages mbona wanitisha nisikusanye yangu
Una uhusiano gani na huyo mtu uliyemwamini kukuandikia recommendation letter? Kama ni profesa alikufundisha una uhakika bado anakukumbuka? Mara ya mwisho uliwasiliana naye lini au mtu hamjawasiliana tangu uondoke chuo na leo ndiyo umekurupuka tu kumtafuta baada ya kuomba kazi inahitaji recommendation.

Tujenge tabia ya kuwa karibu na watu wachache tunaojua kuwa ni wa muhimu katika maisha yetu; na tusiwatafute tu pale tunapokuwa tunawahitaji. Hili ni jambo la muhimu sana maishani.
 
Una uhusiano gani na huyo mtu uliyemwamini kukuandikia recommendation letter? Kama ni profesa alikufundisha una uhakika bado anakukumbuka? Mara ya mwisho uliwasiliana naye lini au mtu hamjawasiliana tangu uondoke chuo na leo ndiyo umekurupuka tu kumtafuta baada ya kuomba kazi inahitaji recommendation.

Jenga tabia ya kuwa karibu na watu wachache unaojua kuwa ni wa muhimu katika maisha yako; na usiwatafute tu pale unapokuwa unawahitaji. Hili ni jambo la muhimu sana maishani.
Sure ni muhimu,,,
 
Yule anayekuja kwenye kituo once na kuondoka,, the only thing anachojali afanye assessment yake aondoke,,

Okay pale field kuna mtu uliyekuwa unareport kwake .. mfano Mkuu wa idara ya sehemu hiyo

huyo ndo anayefaa maana ameona utendaji wako wa kazi kipindi cha field . Ndo maana inashauriwa wakati wa field tuwe wachapa kazi na watiifu
Ili baaadae uweze kuwa na sifa nzuri .

Japo Mimi nilikuwa kabishi hako kipindi cha field
Walitaka kutufanya wafanyakazi wao (overwork)
 
Back
Top Bottom