Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huko sio kumfurahisha sasa ni kujitafutia kansa tu ndo maana magonjwa ya kutoa harufu hayaishi utaona vinakusaidia mwanzo lkn unaharibu maumbile yako ukijakushtuka Rambo hili hapa

Vinipitege tu
Ah sahihi
Hizo za Yoni aisee ni balaa , wanaweka then inakaa huko baada ya muda ndo wanatoa

Hayo tuwaachie wazungu kwa kweli
 
Nipo Riverside

Bado napepesa

Nikiona wa kunifaa

Naenda nae kuzungumza

Kule stoo

Ila hapa ni noma

Vitoto vidunchu mambo yao sasa
Aagh ankoli Mimi hao wamenishinda Kwa kweli

Raha ya mwanamke nimtongoze huku namwangalia usoni na yeye anainama chini Kwa aibu,wakati wa kula mzigo romance na maneno matamu.Sasa hao wa kununua unakosa hizi Radha muhimu ankoli
 
Back
Top Bottom