Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mkuu Mr Shimba ya Buyenze huyu mtoto usiruhusu kbs hata kukanyaga ofisini kwako anaweza kukutafutia sababu mkajikuta kwenye 6×6
Nimefundisha katika mabara matatu tangu nikiwa kijana wa 30s huko miaka ya mid 70s...na sijawahi kamwe kugegeda mwanafunzi...

Huwa nawachukulia kama wanangu tena kama hivi vya sasa vidogo vinatia huruma japo vinajifanya vinajua kila kitu.

Kuna heshima fulani ukijulikana kuwa wewe ni mtu wa principles na hakuna mchezo mchezo....

Mjukuu will be safe with me
 
Mmh mwisho kutoa harufu kilakitu kimeumbiwa sehemuyake ndo maana kukosoft sio kwa ajili ya vipipi
Kitu special kwaajili ya huko kinajulikana sio vipipi Wala vijiti sema wanawake tutafika mbingun tunaburuzwa
Yes dear
Inabidi jamii itambue haya siku zinavyozidi mambo yanazidi kuwa mabaya .
Tunarudi pale kuwa watumwa maana mtu unajitesa ili umfurahishe mwanaume
So sad
 
Yes dear
Inabidi jamii itambue haya siku zinavyozidi mambo yanazidi kuwa mabaya .
Tunarudi pale kuwa watumwa maana mtu unajitesa ili umfurahishe mwanaume
So sad
Huko sio kumfurahisha sasa ni kujitafutia kansa tu ndo maana magonjwa ya kutoa harufu hayaishi utaona vinakusaidia mwanzo lkn unaharibu maumbile yako ukijakushtuka Rambo hili hapa

Vinipitege tu
 
IMG_20220627_225523.jpg
 
Wanawake mnapenda kujipamba Hadi mnapitiliza.Yani kuna Hadi urembo wa kubana uke ili kumuimpress mwanaume Tu

Mwingine akaweka kipini kwenye k*s*mi na kitovu..dah
Zipo mpaka dawa za kuondoa mnato eti mbususu iwe kavu mwanaume afaudu msuguano wa nyama kwa nyama. Watu wa harakati za UKIMWI wamepambana kweli kweli na sijui kama walipiga hatua kulitokomeza hili.

Yaani wanawake kusema kweli huwa wanatuhangaikia sana ili turidhike kumbe sisi wakati mwingine tunachojali ni mtako tu kama upo basi roho kwatuuuu
 
Back
Top Bottom