Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi siyo mjaluo wasiotolewa govi,alafu siyo wa hospitali

Mimi ni wa porini kavukavu bila ganzi..Kitu km mshaleeee

Hivi si muda wa chakula cha usiku huu?? Ngoja nitafute kichenchede
Nipo Riverside

Bado napepesa

Nikiona wa kunifaa

Naenda nae kuzungumza

Kule stoo

Ila hapa ni noma

Vitoto vidunchu mambo yao sasa
 
Pigweni sana na haisaidii
Mchawi ni ulomi tu dadangu.
Binti ukijaaliwa hekima na busara na kuutumia ulimi wako vizuri mbona huhitaji mganga?
Shimba ya Buyenze
Tia neno hapa mkuu
Sio uganga vipipi vinasaidia kiasi chake kwa wenye shida zao mwisho wa siku .. mtu anampenda ... Hawawezi kuacha maana akili zao zishaamini hivyo .
 
Back
Top Bottom