Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapana mjukuu.

Unaweza kuwa na mbususu tight na mnato kuliko zote duniani lakini kama una kauli za hovyo full kisirani na gubu, mjuaji wa kila kitu, heshima zero + uanaharakati uchwara mbona hakuna kitu? Watu watakuwa wanapiga tu na kusepa wanakwenda kusimuliana huko.

Hakuna mwanaume mkorofi kwa mwanamke anayejitambua uanamke wake na nafasi yake ya kiungu kama mwenza, mama, mlezi, mke, rafiki na msaidizi...

Nyinyi vijana wa siku hizi vurugu tupu mnakuja kutulia hukoo mid 30s

Nenda hooters ntalipa
 
Nimefundisha katika mabara matatu tangu nikiwa kijana wa 30s huko miaka ya mid 70s...na sijawahi kamwe kugegeda mwanafunzi...

Huwa nawachukulia kama wanangu tena kama hivi vya sasa vidogo vinatia huruma japo vinajifanya vinajua kila kitu.

Kuna heshima fulani ukijulikana kuwa wewe ni mtu wa principles na hakuna mchezo mchezo....

Mjukuu will be safe with me

miaka 30s kwenye 70s
Shikamoo Baba maana nilikua sina hata dalili ya kuzaliwa
 
Aagh ankoli Mimi hao wamenishinda Kwa kweli

Raha ya mwanamke nimtongoze huku namwangalia usoni na yeye anainama chini Kwa aibu,wakati wa kula mzigo romance na maneno matamu.Sasa hao wa kununua unakosa hizi Radha muhimu ankoli

Hivi wanawake wa siku hizi bado wanaangalia chini wakitongozwa? au ni visichana vidogo
 
Nimefundisha katika mabara matatu tangu nikiwa kijana wa 30s huko miaka ya mid 70s...na sijawahi kamwe kugegeda mwanafunzi...

Huwa nawachukulia kama wanangu tena kama hivi vya sasa vidogo vinatia huruma japo vinajifanya vinajua kila kitu.

Kuna heshima fulani ukijulikana kuwa wewe ni mtu wa principles na hakuna mchezo mchezo....

Mjukuu will be safe with me
Ila huyu cocastic ni exceptional mkuu kuwa nae makini

Huyu ni km mjusi unacheza nae mara unashangaa amepitiliza ameingia kwenye suruali ahahahah
 

Attachments

  • download (5).jpg
    download (5).jpg
    9.7 KB · Views: 5
Back
Top Bottom