Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Pigweni sana na haisaidii
Mchawi ni ulomi tu dadangu.
Binti ukijaaliwa hekima na busara na kuutumia ulimi wako vizuri mbona huhitaji mganga?
Shimba ya Buyenze
Tia neno hapa mkuu
Wanawake hawaijui tu saikolojia ya mwanaume. Wangejua wala wasingekuwa wanahangaika. Hakuna hata haja ya kutumia limbwata wala ujanja mwingine...

We are very simple creatures basi tu sijui kwa nini huwa hawatuelewi
 
Babuuu hivyo vitunguu?
Nimeshaachana na kongoro mjukuu. Nimehamia kwenye samaki. Air fryer angalau imeniokoa. Wametoka vizuri hatari. Njoo tule

20220627_151037.jpg
 
Sio uganga vipipi vinasaidia kiasi chake kwa wenye shida zao mwisho wa siku .. mtu anampenda ... Hawawezi kuacha maana akili zao zishaamini hivyo .
Mmh mwisho kutoa harufu kilakitu kimeumbiwa sehemuyake ndo maana kukosoft sio kwa ajili ya vipipi
Kitu special kwaajili ya huko kinajulikana sio vipipi Wala vijiti sema wanawake tutafika mbingun tunaburuzwa
 
Back
Top Bottom