spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,530
Uyo bro ako ndo kama mimi ila watu kama sisi tuna matukio ya kimya kimyaKtk familia yetu ni huyo brooh, yaan ni mkimya, mpole, mtaratibu akiwa anaongea yaan kheee,
Shida ipo kwangu, kwa dogo, na dada angu m1 huyo, kheeeh ni hatareeee, vurugu mwanzo mwenga,![]()





..Utakubali kuja kuishi huku porini mbande?