Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
Usiku hulali, na ukilala unaniota tuuu😂😂😂😂 kuna vile vibiskuti, nikila nakuona jamani
Usiku hulali, na ukilala unaniota tuuu😂😂😂😂 kuna vile vibiskuti, nikila nakuona jamani
Aiseeee....😍😍😍🎶Baby corner corner
waka waka When you enter omalicha
Baby corner corner
Will you give me sugar wahala hala🎼
Majo monalisaaa majo monalisaaa majo monalisaa🎶
Mlale unono wapendwa!!!😴😴😴😴
😂😂😂Wacha tu Satoh Hirosh aumie, mtoto pisi kali
Abeeeee🎶Baby corner corner
waka waka When you enter omalicha
Baby corner corner
Will you give me sugar wahala hala🎼
Majo monalisaaa majo monalisaaa majo monalisaa🎶
Mlale unono wapendwa!!!😴😴😴😴
Ile barua ilileta mtafaruku mkubwa sana. Dogo anatembea nayo yaani. Nimemwambia ailamineti kabisa aiweke sebuleni akitaka. Hovyo kabisaKumbe barua ndy sababu? Mwambie kijana wako arudishe moyo


Siyo kweliSatoh Hirosh ya kweli haya?


Tena kama leo!!! Naona ndio nitaweweseka 😔 🤣🤣Usiku hulali, na ukilala unaniota tuuu
🤗🤗😜😜😜😜💃💃💃 mama pasta wajua napenda mziki mie!!😘Abeeeee
😊😊😊 Loe hulali kabisaa na ndio nia yanguTena kama leo!!! Naona ndio nitaweweseka 😔 🤣🤣
Eeeh nalijua hilo🤗🤗😜😜😜😜💃💃💃 mama pasta wajua napenda mziki mie!!😘
Usinifanyie hivyo shoga, we ndio mchizi wangu ujue😍😍😘😘Sikaushiiiii
Napanda juu ya dari na kipaza sauti 🎤
AseeAliprint ile barua anatembea nayo. Kila akiisoma chozi hiloo basi mi mbavu sina
Bila konfidensi katika dunia hii ya wababe akina Hirosh mbona kazi anayo?


Ndiwooooo!!🤗🤗🤗🤗🤗🤗Aiseeee....😍😍😍
Hatujagombana 😂😍Siyo kweli
Narudia tena Depal ana mtu anapendana nae sn,tena ni wa humu humu? Alafu Kwa nini kabadilisha avatar kagombana na Mzee Baba?
Dah!Eeh ametuahidi hapo








Kwendraaa wewe 🤣🤣😂😂😂😊😊😊 Loe hulali kabisaa na ndio nia yangu
Saluni ya mama Kimbo naona ilikaa kiswahili mno..sikuipenda.Nzuri sana
Nilipenda ile ya mama Kimbo
Mmmh wewe huyo utume picha?Ndiyo...Tena nimeipiga jana tu![]()