Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Hujambo Mangi?Snap and show itView attachment 2268636
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hujambo Mangi?Snap and show itView attachment 2268636
Inatakiwa tuwajali hawa malkia zetu 😄Kabisa, hahahahh, mkuu ulipotea sana, kwema lakini?
NakudaiHauna shida na mtu mtoto mzuri Saint Anne

Sijambo..how about you?
😂😂
Unasema??
Nisamehe bure, deni lako sitoweza kulipa.
Ni kweli mkuu,Inatakiwa tuwajali hawa malkia zetu 😄
Kwema kabisa mkuu, majukumu tu wakati mwingine yanakaba hadi kivuli
Ndiooooooo!! ✌️✌️✌️Snap and show itView attachment 2268636
We hauna shida na mtu 🙂Unasema??
Mimi sisamehi madeni..
Nakuingiza kwenye bad debtors..mwishowe nitakupiga mnada.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Fanya mpango wa blanket chapa mtu jiraniHii baridi ya leo![]()
Kwenye App, unabonyeza ID yako, unachagua mistari/dots 3 then unaona sehemu ya change emailHebu nieleze, ku update email kiaje tena?
Hebu nilipe deni usinijaze manenoWe hauna shida na mtu 🙂




😁😁 ngoja nifanye mchakato aisee, kabaridi leo sio poa.Fanya mpango wa blanket chapa mtu jirani
Kumbe mpaka leo bado wanachambana kisa mabwana!hapa sielewi nikae wapi, tsup kuna ubuyuu kwa group la class watu wanachambana kuibiana bwana, haya chimbo nako Ex wife wa Sheikh kacharukwa mbayaaa, kuachwa kubayaa.
Na sitaki kupitwa na umbea wowote.
😄😂😂🤣🤣Kumbe mpaka leo bado wanachana kisa mabwana!
SijaonaMbona hujanichamba rangi nyinginyingi?![]()
Bora niliwaacha na baridi lenu. Hapa nilipo feni inapepea😁😁 ngoja nifanye mchakato aisee, kabaridi leo sio poa.
Jirani unaweza chambana kisa bwana?