Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,561
- 23,991
Ewaaaaaa, uendelee kuimarika. tumekumiss sana #teamheels#![]()
Nimewamiss pia Nkamu
Ewaaaaaa, uendelee kuimarika. tumekumiss sana #teamheels#![]()
Umejuaje wewe, kwa chini kuna 5 series moja nyeusiiiii inatusubiri, nabofyaa kitufe cha ku unlock milango, ''chwiii, chwiii' , namfungulia mlango "karibu mrembo".Hapo umemshika mkono mnashuka kwenye ngazi mdogo mdogo eeh 😎😎
Saint Anne hana shida kabisaFanya utimize deni lako kwa Anne.
Niliona hii meme, nikasema inakuhusu mama shughuliView attachment 2268614




nyie watu wakorofiiii, alinitumia tsup photographer angu, hadi nimemnunia nmemuambia hanipigi tena picha, Hahahaahahahahhhahahanyie watu wakorofiiii, alinitumia tsup photographer angu, hadi nimemnunia nmemuambia hanipigi tena picha,
Akanijibu wee huyu usipige picha,. Camera zote zitaungua.
Huyo bibi noumaaaah.
Kaa hukohuko kwanza usijepitwa na ubuyu😂😂😂hapa sielewi nikae wapi, tsup kuna ubuyuu kwa group la class watu wanachambana kuibiana bwana, haya chimbo nako Ex wife wa Sheikh kacharukwa mbayaaa, kuachwa kubayaa.
Na sitaki kupitwa na umbea wowote.
Hahahaa nimemwambia mimithis time naona nitavunjika kabisa mguu
Utaipata tu nkamu😂😂😂😂Nkamu sio vizuri kufuta kabla
sijaona![]()
😄😄😄😄 Nakuelewa sana mkuu! akikaa kwenye kiti unamfunga na mkanda..kitu 5 series macho ya simbaUmejuaje wewe, kwa chini kuna 5 series moja nyeusiiiii inatusubiri, nabofyaa kitufe cha ku unlock milango, ''chwiii, chwiii' , namfungulia mlango "karibu mrembo".
Si unajua mie gentle ndugu yangu 😊😊
Kabisa yaani 😂this time naona nitavunjika kabisa mguu
We shindwaa!Saint Anne hana shida kabisa
Nipo sana tuu na sijapotea hata kidogo 🤣Bila kuselfika hatukupokei tena mwana mpotevu.
Kabisa, hahahahh, mkuu ulipotea sana, kwema lakini?😄😄😄😄 Nakuelewa sana mkuu! akikaa kwenye kiti unamfunga na mkanda..kitu 5 series macho ya simba
Memes ikihusiana na mie, utakuta nshatumiwa yaan,Hahahaahahahahhhahaha






Tubariki na pichaNipo sana tuu na sijapotea hata kidogo![]()
Hauna shida na mtu mtoto mzuri Saint AnneWe shindwaa!