Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
WachaaBora niliwaacha na baridi lenu. Hapa nilipo feni inapepea
Feni inazunguka sio
Aisee
WachaaBora niliwaacha na baridi lenu. Hapa nilipo feni inapepea
Kheeeeh kumbe, sasa nikishafika hapo ndo ni change email?Kwenye App, unabonyeza ID yako, unachagua mistari/dots 3 then unaona sehemu ya change email
HahaaaaWachaa
Feni inazunguka sio
Aisee
YesKheeeeh kumbe, sasa nikishafika hapo ndo ni change email?
Kuchambanaje yan? 😃😃Jirani unaweza chambana kisa bwana?
Huku siku hizi jau sanaBora niliwaacha na baridi lenu. Hapa nilipo feni inapepea
Me and who?..
Kumbe mpaka leo bado wanachambana kisa mabwana!




yaan wee acha tyuuh, Wasomi wanachambana kisa bwana, nipo hoi hapa kwa kucheka, .We hauna shida na mtu na kitu ninachokupendea ni muelewa, ahsante kwa kunielewa.
Si bwana naee, labda huyo bwana urungu wake uwe huja umanya frengaaa, mbna had kudundana tyuuh.Kuchambanaje yan?![]()
Chanzo cha mchambano?







Me and who?..
Sio naendeleaje?..if so naendelea poa.




Hongereni jirani. kwetu mawingu tu.Huku siku hizi jau sana
Dah!.We hauna shida na mtu na kitu ninachokupendea ni muelewa, ahsante kwa kunielewa.
Chanzo si umeibiwa bwana🤣Kuchambanaje yan? 😃😃
Chanzo cha mchambano?
HahaSi bwana naee, labda huyo bwana urungu wake uwe huja umanya frengaaa, mbna had kudundana tyuuh.![]()
Ukifika hapo unaweka pw yako ya jf then chini unaweka sasa hiyo email yako ambayo iko valid lakini.Kheeeeh kumbe, sasa nikishafika hapo ndo ni change email?
Nipo around....
Kuna comment nimemjibu Coca, iangalie..Chanzo si umejibiwa bwana🤣
We usiniambie hujui maana ya mchambo jirani
Missing youMe and who?..
Sio naendeleaje?..if so naendelea poa.