Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Haha

Yan unataka kusema ‘nakukuta na bwana angu wakati bado sijaachika? Ndio nipanick tuchambane??

If so, that’s too low shost, I’ll deal with my man and not you… wewe ulitongozwa ukakubali, na hata kma ulim seduce bado makosa yanalala kwake why akubali??

Then kama vichambo atapata yeye aisee
Na huu ndo ukubwa. Hongera my jirani
 
Haha

Yan unataka kusema ‘nakukuta na bwana angu wakati bado sijaachika? Ndio nipanick tuchambane??

If so, that’s too low shost, I’ll deal with my man and not you… wewe ulitongozwa ukakubali, na hata kma ulim seduce bado makosa yanalala kwake why akubali??

Then kama vichambo atapata yeye aisee
safi Sana ... Waanzaje gombania m2?
 
Haha

Yan unataka kusema ‘nakukuta na bwana angu wakati bado sijaachika? Ndio nipanick tuchambane??

If so, that’s too low shost, I’ll deal with my man and not you… wewe ulitongozwa ukakubali, na hata kma ulim seduce bado makosa yanalala kwake why akubali??

Then kama vichambo atapata yeye aisee
Watu wote wangekua km wee, uzinzi na umalaya ungekoma km sio kuisha. Hii ndo inatakiwa sasa.
 
Watu wote wangekua km wee, uzinzi na umalaya ungekoma km sio kuisha. Hii ndo inatakiwa sasa.
😁😁😁 uzinifu kuisha means wote tuolewe/ men waoe/ uchepukaji usiwepo, hapo ndio tunaweza kumaliza uzinzi/ uzinifu… kitu ambacho sio rahisi kw dunia hii ya sasa…

Ila suala la kugombania bwana Ke kwa ke ni ujinga wa kiwango aisee, ilo linazuilika na kuisha watu tukiamua.

Ukipendwa, pendeka
Ukiachwa, achika
Ukishindwa piga u turn mrudie muumba wako.
Mbona easy tu 😁😁
 
I don't care who you are
Where you from or what you do
Just as long as you chasing money
Do what's right never give up on it
Bring it on bring it on
Are you ready unu ready
No matter how you try don't you ever fall
Keep your head up high
And standing tall
 
😁😁😁 uzinifu kuisha means wote tuolewe/ men waoe/ uchepukaji usiwepo, hapo ndio tunaweza kumaliza uzinzi/ uzinifu… kitu ambacho sio rahisi kw dunia hii ya sasa…

Ila suala la kugombania bwana Ke kwa ke ni ujinga wa kiwango aisee, ilo linazuilika na kuisha watu tukiamua.

Ukipendwa, pendeka
Ukiachwa, achika
Ukishindwa piga u turn mrudie muumba wako.
Mbona easy tu 😁😁
Aisee......
 
Twendeni Kwa Mwakiswelelo.
IMG_20220622_122056_788.jpg
IMG_20220622_122638_500.jpg


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom