cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,290
Kumbe upo dodoma mkuu? Hapo Dodoma masikani huwa ni pande za ILAZO , nimetoka huko trh 03 na soon nitakuwa huko kutokea mwz.Hapa Dodoma hali ni shwari kabisa tunaimalizia weekend taratiiibu
Ebu niombe ujiselfishe mdogo wangu
Hizi vurugu Muachie Yna pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!! Hebu bariki watu mshepu wa maana Rumaiya unakwama wapi sikuhizi lakini!!!??Inapendeza kaka
Selfie..tatizo haka ka camera ka simu kangu naogopa nitatisha watu



Upoooooh.??Ulienda swampia Wapi lakini nilikuita sana.. ukija nistue!!
Ameeeeen!!!!!Happy Father's Day to all the Dad's, Step-dads, Grandads, Uncles, Brothers, Cousins and Friends that step up to show a child what it truly means to be a Father.
" Fathers are men who dared to place the world's hopes and dreams in their children."
View attachment 2265356
Nyumbani kwetu toka wadogo tumekua tukila zaidi chapati za maji, za kusukuma kuna waliojifunza wenyewe badae kabisa ukubwani. Ni maamuzi tu kutojua kupika chapati sidhani kama ni kesi.Hivi seriously kuna wanawake hamjui kupika chapati? Nawaza huwa hamtaki kujifunza au mnakosa sababu ya kuwafanya mlazimike kujifunza? Nyumbani kwenu ilikuwaje?
Maana mimi ni ME lakini chapati nazipika za kuchambuka balaa nikiamua (sijapika kitambo sana) , kwahiyo huwa naamini kama mimi najua basi kila mwanamke anajua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni browser?
Leo jumapili uache kwenda kanisani halafu kwa bahati mbaya upite karibu na kanisaView attachment 2265417






khaaaahNaona umeanza kuzoea uzi kwa speeeeeeeeddddd Safi sana!!!!
Au ni mgeni mwenyeji!!






zubaa hivyo hivyo.Wanatunyanyasa sana tunaotumia App kwanza notifucations zimekata mateso tu.Watuletee na kwa App
Mda gan???
Hebu kuna nn??Woiiiii
Mzuri
Una akili
Umeumbwa ukaumbika
Una mihela
Kikubwa kuliko vyote una moyo mzuri...
Ubarikiwe tu my dear..![]()
Hapa nimepita tu chief nimepita kuwashangaa wagogo kidogo nadhani tutapishana maana nami naelekea Mwanza very soonKumbe upo dodoma mkuu? Hapo Dodoma masikani huwa ni pande za ILAZO , nimetoka huko trh 03 na soon nitakuwa huko kutokea mwz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamia kwenye web mdogo wangu hutajutaWanatunyanyasa sana tunaotumia App kwanza notifucations zimekata mateso tu.
Hamia kwenye web mdogo wangu hutajuta
Umeamka salama lkn?
Ulimtesa sana yule dokta aiseee bado nafikia ile story hapa navaa viatu vyake naona havinienei kabisa![]()



Nimeamka salama nashukuru Mungu, sijui weweHamia kwenye web mdogo wangu hutajuta
Umeamka salama lkn?
Ulimtesa sana yule dokta aiseee bado nafikia ile story hapa navaa viatu vyake naona havinienei kabisa![]()