Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yani kwa ile story nimetamani nikasome udaktari wallah
Ila na wewe kwa nini ulimfanyia vile mwenzio? Dah......
ukasomee udaktar ili mzidi kutufaidi wagonjwa muone kwanza.

Mimi sikukosea lolote yeye ndio alinikosea sababu kama ni kipimo kipo maalum kwa kazi ile na sio kwa namna alivyofanya yeye, nilikasirika basi tu sikua na namna.
 
ukasomee udaktar ili mzidi kutufaidi wagonjwa muone kwanza.

Mimi sikukosea lolote yeye ndio alinikosea sababu kama ni kipimo kipo maalum kwa kazi ile na sio kwa namna alivyofanya yeye, nilikasirika basi tu sikua na namna.
Ungemzaba kofi la usoni paaah, hadi macho yafunge ndo akili yake ingemrudi haswaaa.
 
Back
Top Bottom