Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila niwe mkweli chapati za kusukuma sijui kabisa na hata sitaman kujifunza. Labda cake.
Hivi seriously kuna wanawake hamjui kupika chapati? Nawaza huwa hamtaki kujifunza au mnakosa sababu ya kuwafanya mlazimike kujifunza? Nyumbani kwenu ilikuwaje?

Maana mimi ni ME lakini chapati nazipika za kuchambuka balaa nikiamua (sijapika kitambo sana) , kwahiyo huwa naamini kama mimi najua basi kila mwanamke anajua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inapendeza kaka
Selfie🤔..tatizo haka ka camera ka simu kangu naogopa nitatisha watu
Tafadhali ibariki weekend yetu iende vzr usijali kuhusu hiyo camera wewe tuwekee hivyo hivyo tafadhali mdogo wangu japo muda mfupi tuu na hayo ndiyo maudhui ya huu uzi
 
Mwanaume utakiw kupika sana najifunza humu nakuwa namfundisha x wangu
Kwanza mwanaume kuwa na mwiko masufiria ni kosa la kiuanaume
Inategemeana na malezi tu mkuu, aiseeh mimi nilipika kuanzia la 6 hadi form four, yaani Advance ndo iliniokoa maana baada ya kutoka huko nikawa na kibesi jiko nikalitema nikaenda chuo mpaka leo.

Hata saivi huwa napika vitu vidogo-vidogo nikishukiwa na roho, ile kutaka kuweka battle na wife tu, vitu kama chapati, sambusa vitumbua, nyama...nk.

Mara nyingi inatokea akiwa Menstral P.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom