Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahah ...mimi siku moja hivohivo
bana kwenyee x ray ya hapa kwenye nyonga bana sijui ndio dokta wa x ray yuko anataka kufanya taaluma yake nimelala pale kitandani akaanza kunishika huku juu kifuani alihisi shida yangu ya kifua nikamwambia hapana dokta sio huku ni hapa dokta!!
Yani ananiangalia hio x ray huku namuona kabisaaaaa kadindisha imevimba vibaya weeeeeeeehhh niliogopa sana !!
huko mahospitalini kumbe kuna vihoja eeeeeh. Mbavu zangu mie.
 
Hata ningekuwa Mimi ningekataa.

Kuna siku nimeenda hosp kutibiwa,,nikapewa sindano..nilidhani wataanichoma matakoni..
Nikajiwahi mapema nikamwambia namtaka Nurse wa kike anichome.
Yule kaka akawa mkali,anasema unaumwa halafu inachagua mtu..nikamwambia ndiyo..
Nileteeni Nesi wa kike,
Nileteeni Nesi wa kike,
Nileteeni Nesi wa kikeeeeee!
ila hata mie na feel comfortable kuchomwa sindano na nurse wa kike.
 
Hata ningekuwa Mimi ningekataa.

Kuna siku nimeenda hosp kutibiwa,,nikapewa sindano..nilidhani wataanichoma matakoni..
Nikajiwahi mapema nikamwambia namtaka Nurse wa kike anichome.
Yule kaka akawa mkali,anasema unaumwa halafu inachagua mtu..nikamwambia ndiyo..
Nileteeni Nesi wa kike,
Nileteeni Nesi wa kike,
Nileteeni Nesi wa kikeeeeee!

Kipimo kigumu sana hicho

Hahaha na wakiume wanapenda hao kuchoma
Sipendi sindano bora unipe dawa nijue moja .
 
Hahah ...mimi siku moja hivohivo
bana kwenyee x ray ya hapa kwenye nyonga bana sijui ndio dokta wa x ray yuko anataka kufanya taaluma yake nimelala pale kitandani akaanza kunishika huku juu kifuani alihisi shida yangu ya kifua nikamwambia hapana dokta sio huku ni hapa dokta!!
Yani ananiangalia hio x ray huku namuona kabisaaaaa kadindisha imevimba vibaya weeeeeeeehhh niliogopa sana !!
😂😂😂😂😂😂
Mwee🤣🤣🤣🤣
Kipimo kigumu sana hicho

Hahaha na wakiume wanapenda hao kuchoma
Sipendi sindano bora unipe dawa nijue moja .
Sindano inafanya kazi haraka kuliko dawa.

Halafu kifua kilikuwa kimebana sana..Bila sindano sijui ingekuwaje.
 
Hata ningekuwa Mimi ningekataa.

Kuna siku nimeenda hosp kutibiwa,,nikapewa sindano..nilidhani wataanichoma matakoni..
Nikajiwahi mapema nikamwambia namtaka Nurse wa kike anichome.
Yule kaka akawa mkali,anasema unaumwa halafu inachagua mtu..nikamwambia ndiyo..
Nileteeni Nesi wa kike,
Nileteeni Nesi wa kike,
Nileteeni Nesi wa kikeeeeee!
Una ujinga 🤣🤣🤣🤣 ila inaonyesha bado hujaumwa wewe…. Yan ile kuumwa kisawa sawa kwako bado..
 
Back
Top Bottom