Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kabla hujatuma picha humu uliyopiga kwa cm yako hakikisha hakuna metadata inayoambatana na hiyo picha. Otherwise your privacy is at risk. Jina feki la jf halitakusaidia
Taarifa za kwenye picha hazitoshi kumjua mtu. Ni baadhi ya taarifa za awali zinazoweza wasaidia pa kuanzia, kwa mfano kujua location, model ya camera, mda picha iliyochukuliwa.. zitawasaidia mahala pa kuanzia.. ila sio kwamba watajua ni nani. Ukiwa na hizo taarifa mfano location, model ya camera utajua aina ya simu, time.. kwa wenzetu ulaya maeneo mengi yana CCTV wanaweza pitia pitia humo kupata point point ... sema nipo maji ningeendelea kuandika

Mjep cocastic Christine1
 
Kabla hujatuma picha humu uliyopiga kwa cm yako hakikisha hakuna metadata inayoambatana na hiyo picha. Otherwise your privacy is at risk. Jina feki la jf halitakusaidia
Tuendelee kidogo.. ni kwa namna gani wanatumia picha kukupata ? wanachukua picha ishirini tofauti ( mfano ) , wanachukua taarifa kwenye hizo picha wanaweza wakata picha ya maeneo yako pendwa ( location ) kwa kuangalia avarage so watajua huyu anapenda sana maeneo flani, hiyo itawasaidia pa kuanzia eneo gani waanze kukulia timing, namba mbili wakajua model ya camera watajua simu, katika kuangali location watazingatia aina ya simu ya wanae mlia mingo, kila taarifa iliyo kwenye picture wanaunganisha kupata kitu.. hii nimeweka kwa ufupi.. nahisi unaweza pata point .
 
Kabla hujatuma picha humu uliyopiga kwa cm yako hakikisha hakuna metadata inayoambatana na hiyo picha. Otherwise your privacy is at risk. Jina feki la jf halitakusaidia
Kiduchu tena hapa, hapa aina camera model watajua aina ya simu. Kwa vipi kwa sehemu kujua aina ya simu inaweza saidia, siku hizi haya masimu ya kisasa yana app ambazo zinawezesha watu wenye aina ya simu mmoja kuonana na kushare some info mkiwa kwenye eneo moja au distance au eneo fulani la duara, inakuaga kama try and error kama ni threat hawato ona issue kuwa na simu na yako then wana turn on kuona inaonana na nani .. kama watabaatika kuona simu za aina hiyo, watajaribu kuangalia profile za wadau ambao watatokea sasa kama kuna moja ya picha uliyoweka kwenye profile uliyo post wataanzia hapo, au pia wanaweza anza collect data kutoka kwenye hizo profile na kufanya comparison, najaribu kueleza kwa juu na kwa urahisi ingawa kuna zaidi ya hapa..

ndio maana sio kila kitu kwenye simu yako una turn on.. kama hujui kitu na maana yake piga tu off
 
Back
Top Bottom