Helloowww mkuu!!Hatimaye nimekubahatisha duh!
Haiiiii !!!

Helloowww mkuu!!Hatimaye nimekubahatisha duh!
Haiiiii !!!

Rudia tena surbi!!Helloowww mkuu!!![]()
Eroni Baba Mandingo nilikumiss mnoo ujue!!!! Tangu majuzi ukapotelea kuua mtu Mandingo express ukatusahau kabisa wenzio!!Radiator tena surbi!!
Narudi naomba uniandalie kahawaaaa tuu 😄😄Nilikuwa natafuta kifurushi Cha kuunga baba Pasta. Mungu akubariki sana mdogo angu, nilikuwa na junia hapa kaniwahia na yeye; jumla tumelamba 25k
Surbi mimi sio mandingo...hahaha tena usinitafutie mabalaa! Nilikuwa natetea timu yetu inayoandamwa kila siku.Eroni Baba Mandingo nilikumiss mnoo ujue!!!! Tangu majuzi ukapotelea kuua mtu Mandingo express ukatusahau kabisa wenzio!!
Vidole vizuri, wataalam wanajua kuoanisha!!

Ah ndio mimi huyoKumbe ndio ww
Ah AsanteVidole vizuri, wataalam wanajua kuoanisha!!![]()
Niko poa madam,Ah Asante
Vipi habari yako?
Namshukuru Mungu kabisaNiko poa madam,
Mzima kabisa?
Huo uji ni wa leo leo au wa mwezi mfungo uliopita?Ah ndio mimi huyo
Ni wa leoHuo uji ni wa leo leo au wa mwezi mfungo uliopita?
Ni wa leo
Mpenzi wa uji mimi muda wowote nakunywa iwe mchana au jioni .
Kama unaweka na maziwa basi andaa kwa wingi ili niwe bajumuika hata kwa jioni tuNi wa leo
Mpenzi wa uji mimi muda wowote nakunywa iwe mchana au jioni .
🤣🤣🤣_King mnyama mpya mjini…
KaribuKama unaweka na maziwa basi andaa kwa wingi ili niwe bajumuika hata kwa jioni tu
Sawa kesho nakuja hapoKaribu
ni siagi tu Mkuu
Labda kwa siku hiyo ukija ..
Karibu sanaSawa kesho nakuja hapo
Nipe namba yake mm napatikana kwa sasa