T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,932
- 30,092
Za kupotea njema/salama kabisa mkuuPoaaah elly, za kupotea?
Za kupotea njema/salama kabisa mkuuPoaaah elly, za kupotea?
Unaniangusha sana Master wako 😄😄😄Nafeli sana
Nikikumbuka kaka yule machozi yanamtoka, demu anapanda kwa Tx Land cruser, chezea weyeee, hao watu wanaenda viwanja, afu ilikua jioni hivi,Mwenye nguvu mpisheUmenibania poa nalala njaaa tyuuu
![]()









Mnaweza ku maintain wenyewee,![]()





HapanaUnaangalia sistas ya Tyler??
Basis pouaaaaah!!!Za kupotea njema/salama kabisa mkuu
Umependeza wifiMuwe na usiku mwema
Kesho nayo Siku wapenzi
.Ah huko ushuani eeh .. sema utapata tuMaduka makubwa kukutana nayo huku kitaa ni msala.
Nitawauliza wale wanauza bagia.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kheeeh usitume picha yako ulopigaa kwa camera ya simu yako, labda u screenshot, bila hivyo unadukulia bibi wee,[em![]()
Heeee kumbeKheeeh usitume picha yako ulopigaa kwa camera ya simu yako, labda u screenshot, bila hivyo unadukulia bibi wee,![]()
😄😄😄😄 Mie mwenyewe ilinitokea nimechukuw pisi kali CBE hao club, mtoto kila saa yupo na lijamaa.. nika mind naambiwa huyo kaka.. nikaondoka kichwa chini.. 😄😄😄.. mdada akarudi kesho jioni kutoka kwa kaka yake.. Bwana Athumani sio Mungu, yule dada akaja miaka zaidi ya 10 nikakutana nae anatafuta nyumba na akakutanishwa na father house mie mwenyewe mbona alifurahi 🤣🤣🤣Nikikumbuka kaka yule machozi yanamtoka, demu anapanda kwa Tx Land cruser, chezea weyeee, hao watu wanaenda viwanja, afu ilikua jioni hivi,
Wababa na wazee mnawaumiza vijana wenu huku vyuoni, kuwaibia wachumba zao. Uwiiiiioh
Pika tu hizo za dengu dear
Asante Wii😘
Tupo kulainisha miguu shosteeeee,,tusiwakwaruze akina Baba Junia.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app






ngoja nitafute kwan, nikimpata na mie ntaanza programme hiyoNipo uswahilini Tandika ndanindani hukuAh huko ushuani eeh .. sema utapata tu
Huku maduka mawili tu yanauza .. wengi huwa hawana .

Nakujaa mwayaa.
Watu tumeogopa leo, woiiiiih.Heeee kumbe
Asante
Basis washadukua cm yangu
Eeh makubwa
Anza mapema.ngoja nitafute kwan, nikimpata na mie ntaanza programme hiyo