Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Taarifa za kwenye picha hazitoshi kumjua mtu. Ni baadhi ya taarifa za awali zinazoweza wasaidia pa kuanzia, kwa mfano kujua location, model ya camera, mda picha iliyochukuliwa.. zitawasaidia mahala pa kuanzia.. ila sio kwamba watajua ni nani. Ukiwa na hizo taarifa mfano location, model ya camera utajua aina ya simu, time.. kwa wenzetu ulaya maeneo mengi yana CCTV wanaweza pitia pitia humo kupata point point ... sema nipo maji ningeendelea kuandika

Mjep cocastic Christine1
Afadhali hata umeitolea ufafanuzi mwanzo nilivyoona nikajisemea kama mambo yenyewe ndio haya bora kuacha kuselfika
Thanks.
 
😄😄😄 Usiogope Alicia Keys wetu. Sie kwanza sio threat hatutukani mtu sie tuna mastory yetu ya ajabu ajabu kusogeza siku.. kiasia kwamba waanze kutufatilia labda kama wana wa train wanafunzi kupata ABC
😀😀 Story za kusukuma siku wenyewe tunafurahi maisha yanakuwa rahisi
Aah ubarikiwe sana kwakweli
 
Busisi, right now...
Kwa heri Geita...

IMG_20220613_074040.jpg


IMG_20220613_074005.jpg
 
Back
Top Bottom