cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,169
Namaanisha Mtoto mzunguuuu!! Huna hata doa mwiliniiniii hizo pozi tu mie hoooiiiiiii!!acha upambeee bas nawee lol.
Nipitwe nichekwe??🤣🤣🤣Hupitwiiii wee.![]()
Mnaanza kutishana sasa, khaaaaah.Kabla hujatuma picha humu uliyopiga kwa cm yako hakikisha hakuna metadata inayoambatana na hiyo picha. Otherwise your privacy is at risk. Jina feki la jf halitakusaidia
Metadata ndiyo nini sasa mbona unaongea mambo magumu chiefKabla hujatuma picha humu uliyopiga kwa cm yako hakikisha hakuna metadata inayoambatana na hiyo picha. Otherwise your privacy is at risk. Jina feki la jf halitakusaidia
Namaanisha Mtoto mzunguuuu!! Huna hata doa mwiliniiniii hizo pozi tu mie hoooiiiiiii!!








shouzzzzz wee niwacheee kwan bas.Sisi tunaselfika tuu hatuogopi kuselfika hatuna rb wanasiasa huko ndiyo wanaogopaaMnaanza kutishana sasa, khaaaaah.
Watu wataanza kuogopa lol.
Meta data ni kitu gani nifafanulieKabla hujatuma picha humu uliyopiga kwa cm yako hakikisha hakuna metadata inayoambatana na hiyo picha. Otherwise your privacy is at risk. Jina feki la jf halitakusaidia
Yani nivokosa nimeliaajeeee!! Shos nitakutumia hela uninunulie viwalo vya swagger unisendieUlivyolia sasa lol.![]()
Sisi tunaselfika tuu hatuogopi kuselfika hatuna rb wanasiasa huko ndiyo wanaogopaa





kwa kweli, watuache na selfie zetu.Yani nivokisa nimeliaajeeee!! Shos nitakutumia hela uninunulie viwalo vya swagger unisendie Mie khaa bushi kunanizeesha walai!!










shougaaa angu unanichekesha, utaweza lakini? Mwenzio mie akili yangu inaji sett enyewe. Sina hata mda wa kuwaza woiiiihKwani unakaa bushi sehemu gani? Ungekuwa upo dar ningekutajia sehemu za kijanjaYani nivokosa nimeliaajeeee!! Shos nitakutumia hela uninunulie viwalo vya swagger unisendie
nitokelezee Miee khaa bushi kunanizeesha walai!!
Wewe huku ni wananishangaa mpaka nitajiogopa kha!! Na akili yangu baasi ishakua ya kijijinijijini basi Tafrani tupu shos!shougaaa angu unanichekesha, utaweza lakini? Mwenzio mie akili yangu inaji sett enyewe. Sina hata mda wa kuwaza woiiiih
Taarifa zinazoambatana na picha. Mfano mdogo tukichuka hiyo picha na kuanza kuichunguza tunaweza kujua aina ya cm iliyopiga, eneo ilipopigwa, muda n.k. hizi taarifa huambatana na picha na sio lazima zionekane kwa macho na sio taarifa ya awali anayoihitaji mtu wa kawaida. Uchunguzi wa kisayansi ndio unawezesha kupata hizo taarifa kama vile digital forensic n.k.Metadata ndiyo nini sasa mbona unaongea mambo magumu chief
Hebu nitajie na mie bas, sitaki official, nataka casual tyuuh.Kwani unakaa bushi sehemu gani? Ungekuwa upo dar ningekutajia sehemu za kijanja
Ah hatuna stress siekwa kweli, watuache na selfie zetu.

Mi mwenyewe mshamba tu mkuu nipo huku matakoni mwa nchi yetu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!Kwani unakaa bushi sehemu gani? Ungekuwa upo dar ningekutajia sehemu za kijanja
Usijar bhanaaa, mbna wee ukitupiaga vile unawaka sanaaa tyuuh.Wewe huku ni wananishangaa mpaka nitajiogopa kha!! Na akili yangu baasi ishakua ya kijijinijijini basi Tafrani tupu shos!