Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Katibu anaangalia namna hapa!Bado, huyu namngoja atoke mzigoni![]()
Katibu anaangalia namna hapa!Bado, huyu namngoja atoke mzigoni![]()
🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣 Ndio ndio katibu on my way there 🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️Usiache kuja chumba cha majadiliano hatuwezi shindwa Jambo dogo hili!!
Kelsea "what happen in Vegas remain in Vegas" kaa kwa tulia tuna Jambo letu na na mwenyekiti🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣 Ndio ndio katibu on my way there 🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️



!





















Kelsea "what happen in Vegas remain in Vegas" kaa kwa tulia tuna Jambo letu na na mwenyekiti
Here am waiting!!Nipo njiani katibu!!🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️🚶🏽♀️
Wapendwa nasikia mbwa wanabweka bweka na kukimbizana kuzunguka nyumba huuu Naona wenye shift yao ya usiku washaanza doria!!!
Muwe na Usiku mwema wapendwa ngoja tukajadili kwanza na katibu wangu Hustler one tuone namna
Love you guys!!![]()













khaaaaahUkifika Dodoma nishtue!🙂 Nipe location nije mwenyewe, wanasema ukitaka cha uvunguni......
Wamarangu wana light skini, ni warembo lkn ni mapepe haijawahi tokea na miguu yao ni ya kinyaturu kwa wengi
Wamarangu wengi huachika ndoani kwa ukorofi na ujuaji mwingi lkn ni warembo.
Kwa habari ya maumbo Wamachame wako juu
Ila umetisha Sana best🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️
Mungu ni mwema mie nimeamka vyedi mjep Habari za asubuhi mkuu!!Mmeamkaje ndugu zangu wana selfika

Nzuri tu mamie nashukuru Mungu nimeamka nikiwa mzima wa afya vip leo una ratiba ya kwenda church?Narandaranda tu mie hata asili yangu naijua basiiii!!!habari za asubuhi mkuu!!