Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Kwako katibu Hustler oneashindwe yeye sasa
Kwako katibu Hustler oneashindwe yeye sasa
Ndiiioo!! Naiona dalili ya kudoda pekeangu Walai!!hapa nilipo hadi hapo ni mwendo wa masaa mawili tu hakuna foleni wala trafic.. mwendo wa 240kmh chap naingia hapo tunapiga vya alafajiri 😁😁😁
Vikao vya namba hii hukai mbali inakuwa unawekaweka viti vizuri uku tunasikilizia kwa kutulia lolote linaweza tokea, tuombeane! Mungu anitie nguvuWewe kaa kwa kutulia, mwenyekiti wako hatakuangusha amini hilo. Ila nimecheka sijui umewaza nini
Chair imekula kwangu leo mbona nitaisoma namba!!Aaahhgh, sio kweli jamani!!
Hahaa haya.Vikao vya namba hii hukai mbali inakuwa unawekaweka viti vizuri uku tunasikilizia kwa kutulia lolote linaweza tokea, tuombeane! Mungu anitie nguvu
Unaniangusha mwenyekiti!!!tuko wanafamily wawili tunaduaa tu hapa !! Huna hata big boys wawili wa mchongo Huko katibu?? 🤣😂
🤣🤣🤣🤣🤣 Tunaomba msaada kwako katibu!! Saivi amebaki mmoja naona Kelsea keshabebwa na king haoo wanapepea !!Unaniangusha mwenyekiti!!!
Ushajipatia Katibu hendsamu wa dimpoz na tabasamu kama loteeee!! Akikuangalia tu kule kushaloaa dadeki!?






shouzzzzzz km shouzzzzz, huna mbambamba.tuko wanafamily wawili tunaduaa tu hapa !! Huna hata big boys wawili wa mchongo Huko katibu??![]()









Tunaomba msaada kwako katibu!! Saivi amebaki mmoja naona Kelsea keshabebwa na king haoo wanapepea !!











Haya naomba tukae kikao kidogo cha chairman na karibu wake🤣🤣🤣🤣🤣 Tunaomba msaada kwako katibu!! Saivi amebaki mmoja naona Kelsea keshabebwa na king haoo wanapepea !!
😁😁 acha akachane mkeka.. nimejitunza toka January hadi leo hii.. atakutana na mshindo huon😁😁Ndiiioo!! Naiona dalili ya kudoda pekeangu Walai!!
Bado, huyu namngoja atoke mzigoniTunaomba msaada kwako katibu!! Saivi amebaki mmoja naona Kelsea keshabebwa na king haoo wanapepea !!

Nimenyooka kama rula!shouzzzzzz km shouzzzzz, huna mbambamba.
Kabisa Katibu tuangalie namna!Haya naomba tukae kikao kidogo cha chairman na karibu wake
Harakati za mjomba hizo ausio!!!

Usiache kuja chumba cha majadiliano hatuwezi shindwa Jambo dogo hili!!Kabisa Katibu tuangalie namna!