spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,527
usilale mdogo wangu nilikua nahangaika na mtandao kuingiza vocha imenigomea baki hapoNytz mzee wa mabango
🙂 Nipe location nije mwenyewe, wanasema ukitaka cha uvunguni......Uko wapi ili nikupitie twende wote mkuu?!
Lakini naogopa!
Poyeeeeeeeee. Kuna muda net inazingua jamani, ukute ilikuwa riziki yako hiiMama mchungaji Heaven Sent Unanicheka hapa nipo nje kwenye netwok napigwa narudi just nipate vocha na imegoma! Usshunguuuuu 😔😔
Duh! Jishangazi hilo nyama nyama kama jimama flani humu ndani!Nimeliokota Rock cityyyyyyy mallllll.
🙂 Hajakosea, nina sura personal, kuthibitisha nakutumia PM.Nani kakuambia una sura personal?
Hahaha mkuuuuu ndiyo wa humuhumu😀😀Duh! Jishangazi hilo nyama nyama kama jimama flani humu ndani!
🤣🤣 Nani kakufundisha, we ni fundi 😂Hapo kwenye kujipimia kwenye kuendesha farasi ile umelala chali mwanamke anaichuchumalia juu juu kwa kuipimia ado ado kwanza akienda kichwa kichwa eti aashuke mzima mzima anaeza shangaa inachomokea mgongoni akhuu!!🙄
Anakudanganya.Nilikuona hapa bwana very handsome🙂 Hajakosea, nina sura personal, kuthibitisha nakutumia PM.
Jf tunajifunza kila kitu hadi mapishi hahaaNani kakufundisha, we ni fundi
![]()
Ndiyo nilikuwa naisubiri hapa daahMtandao saivi unazingua hata picha haiload uwii
Bado uko dar?Hakika
Nimeshaambiwa mara nyingi nimefanana na watu
Mtu hadi anakusimamisha njiani
So sio mbaya
🤣🤣 Ujuw jf ni wikileaks ya Tz.Toa Emoj tu basi
Napenda nywele ati ..raha ya mwanaume awe kama beberu😍
Usiondoke kabla hujatoa emoj tafadhali mkuu,achana kuninyanyasa..Mimi ni last born ujue🥺