Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,058
- 134,400
RIP Bwege
HakikaRIP Bwege
Mzee amekufa na amani ya moyo kabisa.Aliewahi kuwa mbunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania jimbo la kilwa kupitia CUF ndugu seleman said bungala amefariki dunia leo akiwa hospital ambako alikuwa akipatiwa matibabu.
18 November 1961 - 30 Machi 2026
Pia soma
- Suleiman Bungara (BWEGE) Mbunge wa Kilwa Kusini: "Kwaheri CUF, hodi ACT Wazalendo"
- PreGE2025 - Bwege: CHADEMA wanadai haki, ACT tunaomba haki, CHADEMA wapo sahihi, Sisi ACT wanafiki
- Bwege ajiondoa ACT, atimkia CHADEMA
Moyo mweupe,moyo mkunjufuMzee amekufa na amani ya moyo kabisa.
Huna akili dogoMaccm ni mataahira kabisa
Eti mh we ulisikia wapi?Pumzika kwa Amani Mzee Bwege.
Ulisikia wapi?
Eti mh we ulisikia wapi?
" Kilwa kusini mkileta mambo Yenu kinafiki, tunaanza upyaaaaa varangati lile Ile"Aliewahi kuwa mbunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania jimbo la kilwa kupitia CUF ndugu seleman said bungala amefariki dunia leo akiwa hospital ambako alikuwa akipatiwa matibabu.
18 November 1961 - 30 Machi 2026
Pia soma
- Suleiman Bungara (BWEGE) Mbunge wa Kilwa Kusini: "Kwaheri CUF, hodi ACT Wazalendo"
- PreGE2025 - Bwege: CHADEMA wanadai haki, ACT tunaomba haki, CHADEMA wapo sahihi, Sisi ACT wanafiki
- Bwege ajiondoa ACT, atimkia CHADEMA
Jamaa alikuwa akiinanga CCM akiwa kwenye wheelchair. AalaahRest in Peace kamanda, walau wewe ulidiriki kuwaambia CCM ukweli kwamba hawatendi HAKI na ni Wezi wa mali za umma.
R.I.PAliewahi kuwa mbunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania jimbo la kilwa kupitia CUF ndugu seleman said bungala amefariki dunia leo akiwa hospital ambako alikuwa akipatiwa matibabu.
18 November 1961 - 30 Machi 2026
Pia soma
- Suleiman Bungara (BWEGE) Mbunge wa Kilwa Kusini: "Kwaheri CUF, hodi ACT Wazalendo"
- PreGE2025 - Bwege: CHADEMA wanadai haki, ACT tunaomba haki, CHADEMA wapo sahihi, Sisi ACT wanafiki
- Bwege ajiondoa ACT, atimkia CHADEMA
Ila huu una machozi. Sio wale wa nzi wa kijani.another one bites the dust.
who is next? ...
Huna marinda luka Abdul ameshayatatuaHuna akili dogo
Pumzika kwa amani, tutakukumbuka daima kwa mapambano yako katika kupigania hakiAliewahi kuwa mbunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania jimbo la kilwa kupitia CUF ndugu seleman said bungala amefariki dunia leo akiwa hospital ambako alikuwa akipatiwa matibabu.
18 November 1961 - 30 Machi 2026
Pia soma
- Suleiman Bungara (BWEGE) Mbunge wa Kilwa Kusini: "Kwaheri CUF, hodi ACT Wazalendo"
- PreGE2025 - Bwege: CHADEMA wanadai haki, ACT tunaomba haki, CHADEMA wapo sahihi, Sisi ACT wanafiki
- Bwege ajiondoa ACT, atimkia CHADEMA
Ndo yeyeHivi ndio huyu kuna clip yake moja anasema "Mimi nilijua hatutoboi" au ni watu tofauti?