TANZIA Seleman Said Bungara (Bwege) afariki dunia

TANZIA Seleman Said Bungara (Bwege) afariki dunia

Mzee alikua anawasha moto balaa, kwa mimi sikua najua sana taarifa za ugonjwa wake, ikafika siku nikamuona yupo hoi, sikuamini kama ni yeye, ila kwa siasa za hapa nilisi ni bomu la masaa wamemtegea, hivyo ni muda tu ndio ulikua hujafika ila adhima ilikua imetimia
 
Kwa hiyo hapo NOVENA haijafanya kazi mpaka wafe upande wa pili.

Marehemu alikuwa akiugua muda mrefu maradhi ya kisukari hadi kupelekea kukatwa mguu mmoja na pia alipatwa na maradhi ya figo hadi kupelekea kufeli kwa figo...

Sasa imagine mtu mwenye hayo maradhi kutoboa kwake kupoje kwenye nchi zetu hizi...
 
Loh! Sikuwahi kumwona ana kwa ana Bwege, lakini mara kadhaa niliisikia sauti yake, ni sauti kila mara iliyosikika kutetea haki za watu.

Poleni sana wanafamilia na ndugu. Mungu wa huruma tunaomba umjalie pumziko jema la milele ndugu yetu aliyetamani waja wako watendewe haki wakati wote.
 
Marehemu alikuwa akiugua muda mrefu maradhi ya kisukari hadi kupelekea kukatwa mguu mmoja na pia alipatwa na maradhi ya figo hadi kupelekea kufeli kwa figo...

Sasa imagine mtu mwenye hayo maradhi kutoboa kwake kupoje kwenye nchi zetu hizi...
Wa ule upande mbona wote wamefia hospital ,ina maana walikuwa wanaumwa..Mungu wa Novena anaua kama adhabu sio na wlae vibaka wa oktoba 29 ilikuwa adhabu ya Mungu wa novena?
 
Aliewahi kuwa mbunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania jimbo la kilwa kupitia CUF ndugu seleman said bungala amefariki dunia leo akiwa hospital ambako alikuwa akipatiwa matibabu.

18 November 1961 - 30 Machi 2026

Pia soma




RIP Bwege. Mungu ailaze roho ya hayati Bwege mahali pema peponi. Amina.

Huyu jamaa mmoja tu ni sawa na maCCM 1,000,000. Alikuwa misimamo thabiti isiyoyumba.
 
Mzee alikua anawasha moto balaa, kwa mimi sikua najua sana taarifa za ugonjwa wake, ikafika siku nikamuona yupo hoi, sikuamini kama ni yeye, ila kwa siasa za hapa nilisi ni bomu la masaa wamemtegea, hivyo ni muda tu ndio ulikua hujafika ila adhima ilikua imetimia
Mzee amefariki kifo cha Natural death, maladhi ya kawaida kabisa, alikuwa na Stroke.

Apumzike kwa amani, hatumdai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom