TANZIA Seleman Said Bungara (Bwege) afariki dunia

TANZIA Seleman Said Bungara (Bwege) afariki dunia

Aliewahi kuwa mbunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania jimbo la kilwa kupitia CUF ndugu seleman said bungala amefariki dunia leo akiwa hospital ambako alikuwa akipatiwa matibabu.


18 November 1961 - 30 Machi 2026

Pia soma



R.I.P MH.BWEGE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom