TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,514
- 11,277
Majanga ya mabomu yamekuwa yakitokea katika nchi mbali mbali duniani kama vile Russia, Nigeria, India, etc kwa zaidi ya mara moja.
Kwa mantiki hiyo unahalalisha mabomu kutulipukia au?
Majanga ya mabomu yamekuwa yakitokea katika nchi mbali mbali duniani kama vile Russia, Nigeria, India, etc kwa zaidi ya mara moja.
Mafyale!Nasikitika sana kama kuna baadhi ya wabunge kama Selasini wanathubutu kusema kwamba milipuko ya mabumu gongo la mboto imesababshwa na JWTZ kuhifadhi mabomu yaliyo expire ! Sifa kubwa ya Mbunge timamu ni kutosikiliza maneno ya mitaani na kuyatumia katika mijadala ya Kimataifa kama vile alivyofanya huyu mbunge leo hii alipokuwa anachangia mjadala wa BBC.
Mbunge anapaswa kujiuliza na ikibidi kufungua vitabu ili apate cha kusema vinginevyo akae kimya tu ! Ajali ya Moto, tetemeko la ardhi, Elinino, etc ni vitu ambavyo vikitokea huna uwezo wa kuvidhibiti sana sana unaweza kupunguza madhara tu lakini huwezi kusema kwamba utakuwa salama kwa asilimia 100.
Majanga ya mabomu yamekuwa yakitokea katika nchi mbali mbali duniani kama vile Russia, Nigeria, India, etc kwa zaidi ya mara moja.
Imefika wakati watanzania kuwa na akili timamu kwa kutafuta chanzo cha tatizo badala ya kutoa lawama zisizokuwa za msingi ili mradi tu uonekane umechangia hoja kumbe unaonekana mpuuzi tu kwa kutoa pumba badala ya mchele.
Nasikitika sana kama kuna baadhi ya wabunge kama Selasini wanathubutu kusema kwamba milipuko ya mabumu gongo la mboto imesababshwa na JWTZ kuhifadhi mabomu yaliyo expire ! Sifa kubwa ya Mbunge timamu ni kutosikiliza maneno ya mitaani na kuyatumia katika mijadala ya Kimataifa kama vile alivyofanya huyu mbunge leo hii alipokuwa anachangia mjadala wa BBC.
Mbunge anapaswa kujiuliza na ikibidi kufungua vitabu ili apate cha kusema vinginevyo akae kimya tu ! Ajali ya Moto, tetemeko la ardhi, Elinino, etc ni vitu ambavyo vikitokea huna uwezo wa kuvidhibiti sana sana unaweza kupunguza madhara tu lakini huwezi kusema kwamba utakuwa salama kwa asilimia 100.
Majanga ya mabomu yamekuwa yakitokea katika nchi mbali mbali duniani kama vile Russia, Nigeria, India, etc kwa zaidi ya mara moja.
Imefika wakati watanzania kuwa na akili timamu kwa kutafuta chanzo cha tatizo badala ya kutoa lawama zisizokuwa za msingi ili mradi tu uonekane umechangia hoja kumbe unaonekana mpuuzi tu kwa kutoa pumba badala ya mchele.
Nasikitika sana kama kuna baadhi ya wabunge kama Selasini wanathubutu kusema kwamba milipuko ya mabumu gongo la mboto imesababshwa na JWTZ kuhifadhi mabomu yaliyo expire ! Sifa kubwa ya Mbunge timamu ni kutosikiliza maneno ya mitaani na kuyatumia katika mijadala ya Kimataifa kama vile alivyofanya huyu mbunge leo hii alipokuwa anachangia mjadala wa BBC.
Mbunge anapaswa kujiuliza na ikibidi kufungua vitabu ili apate cha kusema vinginevyo akae kimya tu ! Ajali ya Moto, tetemeko la ardhi, Elinino, etc ni vitu ambavyo vikitokea huna uwezo wa kuvidhibiti sana sana unaweza kupunguza madhara tu lakini huwezi kusema kwamba utakuwa salama kwa asilimia 100.
Majanga ya mabomu yamekuwa yakitokea katika nchi mbali mbali duniani kama vile Russia, Nigeria, India, etc kwa zaidi ya mara moja.
Imefika wakati watanzania kuwa na akili timamu kwa kutafuta chanzo cha tatizo badala ya kutoa lawama zisizokuwa za msingi ili mradi tu uonekane umechangia hoja kumbe unaonekana mpuuzi tu kwa kutoa pumba badala ya mchele.
wakubwa na wanazi wa simba na yanga...bomu liki-expire maana yake limeisha muda wake wa kufanya kazi ile inayotakiwa kufanya..."KULIPUKA"......na hivyo maana yake haliwezi kulipuka tena........! KILICHO-EXPIRE HAKIWEZI LIPUKA BANDUGU...!
wakubwa na wanazi wa simba na yanga...bomu liki-expire maana yake limeisha muda wake wa kufanya kazi ile inayotakiwa kufanya..."KULIPUKA"......na hivyo maana yake haliwezi kulipuka tena........! KILICHO-EXPIRE HAKIWEZI LIPUKA BANDUGU...!
Nasikitika sana kama kuna baadhi ya wabunge kama Selasini wanathubutu kusema kwamba milipuko ya mabumu gongo la mboto imesababshwa na JWTZ kuhifadhi mabomu yaliyo expire ! Sifa kubwa ya Mbunge timamu ni kutosikiliza maneno ya mitaani na kuyatumia katika mijadala ya Kimataifa kama vile alivyofanya huyu mbunge leo hii alipokuwa anachangia mjadala wa BBC.
Mbunge anapaswa kujiuliza na ikibidi kufungua vitabu ili apate cha kusema vinginevyo akae kimya tu ! Ajali ya Moto, tetemeko la ardhi, Elinino, etc ni vitu ambavyo vikitokea huna uwezo wa kuvidhibiti sana sana unaweza kupunguza madhara tu lakini huwezi kusema kwamba utakuwa salama kwa asilimia 100.
Majanga ya mabomu yamekuwa yakitokea katika nchi mbali mbali duniani kama vile Russia, Nigeria, India, etc kwa zaidi ya mara moja.
Imefika wakati watanzania kuwa na akili timamu kwa kutafuta chanzo cha tatizo badala ya kutoa lawama zisizokuwa za msingi ili mradi tu uonekane umechangia hoja kumbe unaonekana mpuuzi tu kwa kutoa pumba badala ya mchele.
this is a very serious event..lakini naona viongozi wote--wa jeshi na serikali--wanachukulia kimzaha tu!!
Hii sababu ya kusema wananchi wamefuata jeshi ni sababu ya kijinga kuliko zote nlizowahi kusikia.....sasa ukihesabu kambi za jeshi zilizo Dar es salaam na jinsi zilivotapakaa , halafu tukasema wananchi wote wakae umbali wa km 11 kutoka hapo si ina maana watu wahame Dar?
Hii nchi inakera sana jamani, yaani tuna viongozi mabogus katika kila sekta...suluhisho tubadili tu mfumo mzima tuone badala ya kuendelea na huu upuuzi