Selasini on BBC: Mabomu yalikuwa yame-expire!

Haya ni mawazo mgando katika karne ya sayansi na technologia. Majanga na ajali vinazuilika au labda basi inawezekana kuweka tahadhali na mifumo ya kupunguza madhara. Ndiyo maana kuna vyombo vya ku detect mitikisiko ndani ya maji na vimbunga na tsunami ndani ya bahari ili ikitokea basi watu watahadhalishwe mapema waende sehemu salama. Ndiyo maana watu wanaoishi katika fault line za matetemeko wanashauriwa mapema namna ya kujenga nyumba zao kuepuka madhara ya tetemeko likitokea ghafla. Ndiyo maana watu wanafundishwa katika sehemu zenye uwezekano wa kutokea ajali na milipuko kutambua hazzards na kuweka mipango ya ku punguza au kuondoa kabisa madhara. Kuna hazzard audits zinafanywa, inspections. Kunapaswa katika sehemu kama hizi wawepo wataalamu wanaoshughulika na kutunza usalama na committees na ukaguzi wa mara kwa mara na ripoti zake. Kama mabomu yalikwisha expire sasa kwenye maghala yalikuwa yanfanya nini?
Mchangiaji mmoja amesema expiery sio tu kwamba hayatalipuka lakini ni kuwa yanaanza ku mis behave kama ilivyotokea. Use your analytical part of brain brother usije ukatuletea ya REDET!!!!

Wewe ndio unatakiwa kufanya analysis ya kutosha. Upeo wako finyu sana. Yaani unaongelea teknology za kudetect kabla? kwa bajeti ipi ya ulinzi? Si kuna mbunge alihoji kwa nini jeshi linanunua silaha wakati hakuna vita? Kimsingi tuna tatizo na baadhi ya wawakilishi wetu. Unajua bajeti ya ulinzi ya Marekani, UK, na nchi nyingine zilizoadvance ki-tech? Unalinganishaje ya bajeti ya nchi yako? Use your common sense boy.
Na huyo mkenya wenu (your authority) nimempenda sana. Hivyo ndivyo uzandiki unavyofanya kazi. Kama wao wako stable namna hiyo iweje basi ndege ikoswekoswe kwenye uwanja wao wa ndege? Huyo yuko kazini kujaribu kubuy cheap minds kwa ajii ya taifa lake. Na kwa watanzania ambao hawawezi kuona traps rahisi tu kama hizo tayari wameshatengwa na jeshi lao kipuuzi kabisa. Thank God hayajalipuka Kenya kama ilivyotokea kwa nchi nyingi nyinginezo. Vinginevyo huenda madhara yakawa mabaya zaidi kuliko hapa kwetu. Hawa wanawahamasisha wananchi ili kuvuruga sera nzuri tu za ulinzi. Haya bana, Ondoeni majeshi yote Dar, ibaki Lugalo tu halafu muendelee kuinjoi peace and harmony.
It takes a genius to know the genious............................ Nimemsahau aliyesema!
PEACE BE WITH YOU ALL>
 
Nasikitika sana kama kuna baadhi ya wabunge kama Selasini wanathubutu kusema kwamba milipuko ya mabumu gongo la mboto imesababshwa na JWTZ kuhifadhi mabomu yaliyo expire ! Sifa kubwa ya Mbunge timamu ni kutosikiliza maneno ya mitaani na kuyatumia katika mijadala ya Kimataifa kama vile alivyofanya huyu mbunge leo hii alipokuwa anachangia mjadala wa BBC.

Mbunge anapaswa kujiuliza na ikibidi kufungua vitabu ili apate cha kusema vinginevyo akae kimya tu ! Ajali ya Moto, tetemeko la ardhi, Elinino, etc ni vitu ambavyo vikitokea huna uwezo wa kuvidhibiti sana sana unaweza kupunguza madhara tu lakini huwezi kusema kwamba utakuwa salama kwa asilimia 100.

Majanga ya mabomu yamekuwa yakitokea katika nchi mbali mbali duniani kama vile Russia, Nigeria, India, etc kwa zaidi ya mara moja.

Imefika wakati watanzania kuwa na akili timamu kwa kutafuta chanzo cha tatizo badala ya kutoa lawama zisizokuwa za msingi ili mradi tu uonekane umechangia hoja kumbe unaonekana mpuuzi tu kwa kutoa pumba badala ya mchele.

Mmmmmmmmh, mbona humulaumu na kumshangaa kanali wa JWTZ anayesemaz bomu liki-expire haliwezi kulipuka; wakati mwenzie wa Kenya anaamini kulipuka kwaweza sababishwa pia na ku-expire kwa BOMU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! kosa ni kukubali mabomu kujirudia na kuua watu, ina maana hakuna tahadhali!!
 
Selasini kanena, na mimi nasikia watu wananong'ona eti wanajeshi walianza kufunga mizigo, mama mmoja kauliza kulikono eti wakamjibu '' ya mbagala huenda yakatokea gongola mboto'' na yakatokea muda baadaye;;;;;acha watu waseme yalipanga japo wanajeshi wanakataa
 
Wewe ndio bogus wa kutupwa. Unaelewa nini kuhusu jeshi wewe? Nyie mnapoliticize kila kitu. Yaani sasa mnaudhi mno. Nuyo Thelathini ana elimu gani ya kijeshi vile? Hivi unajua mpaka leo dunia inaumizwa na mabomu yaliyotumika world war II? Nani kakudanganya mabomu yana expire kwa kulipuka. Basi Angola kusingekuwa na haja ya kuunda timu maalum kulipua mabomu. Vipi Msumbiji nako ilikuwaje? Wacheni siasa katika mambo ya kijeshi. Mnajijengea picha mbaya tu. Mwenye busara atajua kwamba hata wanajeshi ni watanzania tena wazalendo kuliko wengi wenu hapa JF. Acheni kabisa siasa za vyama jeshini. Mnajijengea chuki tu ambazo hazikuwapo hapo kabla. Wanajeshi walijua kuwa yameexprire, then wakaendelea kufanya kazi humo? Si wange-vacate hiyo kambi? Au labda yalikuwa na tarehe ya ku-expire ya kulipuka? Mbona mnashabikia sana NEGATIVE news about the army? Ninauhakika hata kama mkiuluzwa ni mazuri gani jeshi limewahi kufanya hamuwezi kutaja hata moja. Wacheni matusi yenu kwani yanawaonyesha ujinga wenu tu.
Kwa hiyo kama kuna mazuri ambayo jeshi imewahi kufanya,wasihojiwe kwa uzembe wowote uliosababisha vifo vya raia wanaowatumikia na kuwalinda!,hivi ni lini mtakubali weakness zenu na kuwa responsible?,hii ishu inatokea mara ya pili sasa alafu wewe unatuambia mazuri!!,Hili jeshi liliundwa ili kuwafanyia mazuri wananchi(ndo kazi yake),yanapotokea mabaya lazima watu wahoji na kulalamika.
 
Wewe ndio bogus wa kutupwa. Unaelewa nini kuhusu jeshi wewe? Nyie mnapoliticize kila kitu. Yaani sasa mnaudhi mno. Nuyo Thelathini ana elimu gani ya kijeshi vile? Hivi unajua mpaka leo dunia inaumizwa na mabomu yaliyotumika world war II? Nani kakudanganya mabomu yana expire kwa kulipuka. Basi Angola kusingekuwa na haja ya kuunda timu maalum kulipua mabomu. Vipi Msumbiji nako ilikuwaje? Wacheni siasa katika mambo ya kijeshi. Mnajijengea picha mbaya tu. Mwenye busara atajua kwamba hata wanajeshi ni watanzania tena wazalendo kuliko wengi wenu hapa JF. Acheni kabisa siasa za vyama jeshini. Mnajijengea chuki tu ambazo hazikuwapo hapo kabla. Wanajeshi walijua kuwa yameexprire, then wakaendelea kufanya kazi humo? Si wange-vacate hiyo kambi? Au labda yalikuwa na tarehe ya ku-expire ya kulipuka? Mbona mnashabikia sana NEGATIVE news about the army? Ninauhakika hata kama mkiuluzwa ni mazuri gani jeshi limewahi kufanya hamuwezi kutaja hata moja. Wacheni matusi yenu kwani yanawaonyesha ujinga wenu tu.

Sijui ufuatiliaji wako wa mambo ya kijeshi uko vipi ila kama utakumbuka mwaka 1995 MaHITA akiwa RPC Kilimanjaro alitumia mabomu mengi ya machozi kusambaratisha msafara wa A. mrema wakati huo alikuwa ametoka CCM na kujinga na NCCR mageuzi hivyo watu wengi walijitokeza kumpokea kama kawaida CCM wakamtaka awadhibiti basi yeye akatumia mabomu ya machozi yalipigwa kila kona aliyokatiza .
Baada ya waandishi kumfuata na kuhoji sababu ya yeye kutumia mabomu ya machozi tena kwa wingi wa kiasi kile jibu lake lilikuwa rahisi " hayawezi kuleta madhara kwa watu kwani yameshaexpire" hii inaweza ikawa ikawa sehemu ya uthibitisho kuwa bomu linaweza kuexpire lakini likavyatuka/lipuka na ndiyo sababu kuna mengine mengi kule gongo la Mboto yalivyatuka lakini hayakulipuka
 
Wewe ndio bogus wa kutupwa. Unaelewa nini kuhusu jeshi wewe? Nyie mnapoliticize kila kitu. Yaani sasa mnaudhi mno. Nuyo Thelathini ana elimu gani ya kijeshi vile? Hivi unajua mpaka leo dunia inaumizwa na mabomu yaliyotumika world war II? Nani kakudanganya mabomu yana expire kwa kulipuka. Basi Angola kusingekuwa na haja ya kuunda timu maalum kulipua mabomu. Vipi Msumbiji nako ilikuwaje? Wacheni siasa katika mambo ya kijeshi. Mnajijengea picha mbaya tu. Mwenye busara atajua kwamba hata wanajeshi ni watanzania tena wazalendo kuliko wengi wenu hapa JF. Acheni kabisa siasa za vyama jeshini. Mnajijengea chuki tu ambazo hazikuwapo hapo kabla. Wanajeshi walijua kuwa yameexprire, then wakaendelea kufanya kazi humo? Si wange-vacate hiyo kambi? Au labda yalikuwa na tarehe ya ku-expire ya kulipuka? Mbona mnashabikia sana NEGATIVE news about the army? Ninauhakika hata kama mkiuluzwa ni mazuri gani jeshi limewahi kufanya hamuwezi kutaja hata moja. Wacheni matusi yenu kwani yanawaonyesha ujinga wenu tu.

Itakuwa vyema kama ukijibu hoja kwa kudadavua hoja zinazotolewa na kuonyesha correctness au incorrectness yake; badala ya kulipuka tu kwa hasira na kuandika vitu visivyohusiana na mada husika, hapa umeongea kama tu yule Msemaji wa Jeshi,hujibu hoja ila siasa.
 
wakubwa na wanazi wa simba na yanga...bomu liki-expire maana yake limeisha muda wake wa kufanya kazi ile inayotakiwa kufanya..."KULIPUKA"......na hivyo maana yake haliwezi kulipuka tena........! KILICHO-EXPIRE HAKIWEZI LIPUKA BANDUGU...!
Ni kamq bia iki-expire haitoi povu walq gesi.

Pohamba unasemaje kuhusu hili
 
Back
Top Bottom