Umeandaa kuanzia million nane na kuendelea?Ooh bei zake zipoje mkuu
Yamaha zipo Nyingi mzee Kuna Bei chini ya hapoHapana mkuu
Hahahahaaaaah jii hapa Tenere 700, je umeipenda nikutajie bei?Aina
Sina uzoefu nazo mkuu.Unaweza kunishauri ipi na nzuri na imara
Asante sana mkuuHahahahaaaaah jii hapa Tenere 700, je umeipenda nikutajie bei?
View attachment 2815053
Mtego 🤓 huo usikubali
Onaa, waone hawa jamaa watakupa muongozo, wana AG za shamba, XTZ dual sports na Crux rev za town
View attachment 2815055