little finger
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 384
- 986
Habarini wakuu,
Kwa bajeti ya laki 3 na 20, naweza kupata simu ya aina gani?
Kigezo cha kukaa na chaji ni muhimu sana.
Natanguliza shukrani
Kwa bajeti ya laki 3 na 20, naweza kupata simu ya aina gani?
Kigezo cha kukaa na chaji ni muhimu sana.
Natanguliza shukrani