Gidabed
JF-Expert Member
- Jan 29, 2023
- 422
- 781
Wakuu habari za muda huu,
Kwa wale wajuzi wa simu naombeni mnipatie muongozo wa aina gani ya simu ninunue kwa bajeti ya 300,000/- mpya/used.
Vipaumbele vyangu ni;
1. Battery nzuri at least kuanzia 2500Mah na kuendelea.
2. Simu iwe na display nzuri.
3. Iwe na camera nzuri.
4. Internal storage 4RAM/64GB 6RAM/128GB.
5. Atleast screen size iwe 6.1 inch to 6.5 inch.
Karibuni wadau, pia mnaweza mkanishauri pia kama bajeti haitoshi niongeze ngapi ili niweze kupata simu nzuri, asanteni.
Kwa wale wajuzi wa simu naombeni mnipatie muongozo wa aina gani ya simu ninunue kwa bajeti ya 300,000/- mpya/used.
Vipaumbele vyangu ni;
1. Battery nzuri at least kuanzia 2500Mah na kuendelea.
2. Simu iwe na display nzuri.
3. Iwe na camera nzuri.
4. Internal storage 4RAM/64GB 6RAM/128GB.
5. Atleast screen size iwe 6.1 inch to 6.5 inch.
Karibuni wadau, pia mnaweza mkanishauri pia kama bajeti haitoshi niongeze ngapi ili niweze kupata simu nzuri, asanteni.