dicloppa
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 278
- 400
Wakuu habari! bila ya kupoteza wakati niende kwenye maada husika wazo langu ni kufungua ofisi ya kuuza na kununua pikipiki amabazo zimeishatumika mtaani(used)
Ili ofisi iwe imekamilika kwa upande vibali ni taratibu zipi napaswa kuzifuata ili kupata vibali na pia ni vibali gani napaswa kuwa navyo?
Mwenye kufahamu hilo naomba anifahamishe. Natanguliza shukrani
Ili ofisi iwe imekamilika kwa upande vibali ni taratibu zipi napaswa kuzifuata ili kupata vibali na pia ni vibali gani napaswa kuwa navyo?
Mwenye kufahamu hilo naomba anifahamishe. Natanguliza shukrani