Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,967
- 22,161
Husika na kichwa cha habari hapo juu, mimi Don Pdidy kwa heshima na t aadhima nilipenda kutoka na shemeji yenu siku ya christmass.
Kwa bahati nzuri hana ghara ma shuhuli iko kwenye ngrooongroo anapenda iliostaraabika (haiibiwi). Na iliorostiwa standard.
Tafadhali kwa maeneo ya dar aaepajua wana kitimoto kizuri yaan ukiondoka hapo unachukua na namba za simu tujulishane hapa, bei si tatizo wengine kutoka nao mpaka pasaka wacha watumie.
Ahsanteni, nawatakia sikukuu njema ya mafanikio.
Kwa bahati nzuri hana ghara ma shuhuli iko kwenye ngrooongroo anapenda iliostaraabika (haiibiwi). Na iliorostiwa standard.
Tafadhali kwa maeneo ya dar aaepajua wana kitimoto kizuri yaan ukiondoka hapo unachukua na namba za simu tujulishane hapa, bei si tatizo wengine kutoka nao mpaka pasaka wacha watumie.
Ahsanteni, nawatakia sikukuu njema ya mafanikio.